Msaada Njia nzuri kumlipa Supplier China

Msaada Njia nzuri kumlipa Supplier China

Mkuu hapa kuna kitu umesema nimepata somo, Shukrani sana aisee, Mfano mimi nataka nilipe mzigo wa thamani ya 20M za kitanzania at once, Bank ipi inayoweza nisaidia kulipa Whole at once sababu most banks they limit 5M nadhani, lakini pia
Kama ni CRDB(ninayojua) nenda katika tawi lako na omba kibali cha kulipa zaidi ya Million 5.
 
Lakini pia kwa Experience yako Transaction fees zipoje?
Ujinga wangu wa kuagiza vitu China ulinifanya niwe na USD account maana unapotumia TShs wanakufyonza kisawasawa. In fact unapotumia TShs account ni kama USD moja sawa na 2,780 badala ya 2,650
 
Kila mtu ana experience yake. Challenges ni zile zile utapeli,bidhaa za hovyo ndio maana kuna sehemu nimesema Wachina hawaeleweki. Mimi natumia shipper na sijawahi kupata tatizo kwenye malipo. Kuhusu quality au vitu kupungua napambana nao mwenyewe. Juzi nimepokea mzigo una 1/2 ya vitu nilivyoagiza. Nimehangaika nao mwenyewe wanatuma vilivyopungua.
Upo sahihi ila nadhani wewe una agent wako ambaye pengine umeishamtembelea na mnajuana. Kwa sisi ambao si wafanyabiashara ila Kariakoo yetu ipo China, tunapata madhira mengi pindi ukimuamini mtu, si Mchina peke yake. Kuwa na granta kama Alibaba (ingawa unalipia pesa kidogo) ni muhimu kuliko kutuma pesa moja kwa moja kwa suppliers.
 
Back
Top Bottom