hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 1,011
- 2,188
Inategemea huyo supplier mmekutana kwe y
Best idea kwa kigezo cha kupeleka mzigo kwao itakuwa reasonable sana, asante sana BrotherMkuu shipper wote wa Kibongo wanatoa hio huduma. Kama hao hawatoi achana nao. Tafuta shipper anaetoa hio huduma. Shipper ataealipa hao na atapokea mzigo kwenye warehouse yake.
Hii naifanya straight kutoka kwa Bank yangu?Akutumie Invoice ufanye TT
Una maana gani? Viwango vya nini sijajua, mi natumia hii miaka mingi na sijawahi kujutia
Yaani mfano natakaka kulipa 20M at onceUna maana gani? Viwango vya nini sijajua, mi natumia hii miaka mingi na sijawahi kujutia
unataka kutuma Yuan ngapi, muombe supplier Alipaycode au WeChat pay codeYaani mfano natakaka kulipa 20M at once
Na vipi kuhusu Transaction fee
You nail itAlibaba trade assurance is the best...
Wakati mwingine mtoe ushauri kulingana na experienceMtumie shipper wako.
Aliekwambia nimetoa ushauri bila experience nani? Nanunua vitu from China kila mwezi na ninatumia shopper kulipa supplier. Wewe toa ushauri wako acha kujifanya unajua kila mtu anafanya nini.Wakati mwingine mtoe ushauri kulingana na experience
Unapodanganya ni muhali kurekebishwa. Yeye anatafuta assurance na forwarder yupi anatoa financial assurance zaidi ya akina Alibaba!Aliekwambia nimetoa ushauri bila experience nani? Nanunua vitu from China kila mwezi na ninatumia shopper kulipa supplier. Wewe toa ushauri wako acha kujifanya unajua kila mtu anafanya nini.
Wewe una kichaa? Nimedanganyq wapi? Unalazimisha kila mtu afanye unachoamini wewe? Acha ujuaji watu wanatumia shipper kulipa supplier miaka na miaka. Acha ujuaji.Unapodanganya ni muhali kurekebishwa. Yeye anatafuta assurance na forwarder yupi anatoa financial assurance zaidi ya akina Alibaba!
issue si kulipa maana hata GSM atalipa ila mtoa mada alitaka kupata financial assurance ambayo huwezi ipata free. Matusi ni dalili za ukosefu wa ukomavu kiakili.Wewe una kichaa? Nimedanganyq wapi? Unalazimisha kila mtu afanye unachoamini wewe? Acha ujuaji watu wanatumia shipper kulipa supplier miaka na miaka. Acha ujuaji.
Kwahio unafikiri hao GSM au shipper wengine wanalipa tu hawatumii njia salama? Njia kuu ni TT ambayo ni wazi imemshinda. Njia rahisi na salama iliobaki ndio hio kutumia shipper. Anyway wewe toa ushauri wako acha kujifanya msemaji wa thread.issue si kulipa maana hata GSM atalipa ila mtoa mada alitaka kupata financial assurance ambayo huwezi ipata free. Matusi ni dalili za ukosefu wa ukomavu kiakili.
Naomba nikueleze, challenge kubwa katika uagizaji wa mizigo toka China, ni uaminifu wa Wachina. Wachina wengi ni matapeli. Ukilipa pesa kwa Supplier, kuna mawili, kupata bila shida yoyote (utapeli) au kutapeliwa kwa njia yoyote ile, iwe kwa bidhaa feki au kuzungushwa.Kwahio unafikiri hao GSM au shipper wengine wanalipa tu hawatumii njia salama? Njia kuu ni TT ambayo ni wazi imemshinda. Njia rahisi na salama iliobaki ndio hio kutumia shipper. Anyway wewe toa ushauri wako acha kujifanya msemaji wa thread.
Kila mtu ana experience yake. Challenges ni zile zile utapeli,bidhaa za hovyo ndio maana kuna sehemu nimesema Wachina hawaeleweki. Mimi natumia shipper na sijawahi kupata tatizo kwenye malipo. Kuhusu quality au vitu kupungua napambana nao mwenyewe. Juzi nimepokea mzigo una 1/2 ya vitu nilivyoagiza. Nimehangaika nao mwenyewe wanatuma vilivyopungua.Naomba nikueleze, challenge kubwa katika uagizaji wa mizigo toka China, ni uaminifu wa Wachina. Wachina wengi ni matapeli. Ukilipa pesa kwa Supplier, kuna mawili, kupata bila shida yoyote (utapeli) au kutapeliwa kwa njia yoyote ile, iwe kwa bidhaa feki au kuzungushwa.
Ilishanitokea mpaka mchina akakataa kusafirisha mizigo yangu kwa kutumia Silent Ocean akadai lazima forwarder awe ni Mchina etc. Ilibidi niwe mdogo kama piliton na kuwa mpole, kiasi kila alilotaka, nilikubaliana naye ingawa mzigo ulitumia mwaka na zaidi kufika badarini Dar. Napo TRA!!!!!!
Njia ya kuagiza kitu China yenye usalama ni kutumia makampuni kwa ajili ya kazi hiyo kama Alibaba (unalipa online) ambao, kwanza mnapowasiliana na suppliers mnatumia system yao kiasi kila kitu kinakuwa recorded na wanatoa garantii ya pesa zako na mzigo wako. Wakijichanganya, Alibaba anakurejeshea pesa yako. Waulize akina Janeth wa Silent Ocean huko China kama wanatoa garantii ingawa wanayo service ya kukulipia. Naomba niishie hapo
Naomba nikueleze, challenge kubwa katika uagizaji wa mizigo toka China, ni uaminifu wa Wachina. Wachina wengi ni matapeli. Ukilipa pesa kwa Supplier, kuna mawili, kupata bila shida yoyote (utapeli) au kutapeliwa kwa njia yoyote ile, iwe kwa bidhaa feki au kuzungushwa.
Ilishanitokea mpaka mchina akakataa kusafirisha mizigo yangu kwa kutumia Silent Ocean akadai lazima forwarder awe ni Mchina etc. Ilibidi niwe mdogo kama piliton na kuwa mpole, kiasi kila alilotaka, nilikubaliana naye ingawa mzigo ulitumia mwaka na zaidi kufika badarini Dar. Napo TRA!!!!!!
Njia ya kuagiza kitu China yenye usalama ni kutumia makampuni kwa ajili ya kazi hiyo kama Alibaba (unalipa online) ambao, kwanza mnapowasiliana na suppliers mnatumia system yao kiasi kila kitu kinakuwa recorded na wanatoa garantii ya pesa zako na mzigo wako. Wakijichanganya, Alibaba anakurejeshea pesa yako. Waulize akina Janeth wa Silent Ocean huko China kama wanatoa garantii ingawa wanayo service ya kukulipia. Naomba niishie hapo
Lakini pia kwa Experience yako Transaction fees zipoje?Naomba nikueleze, challenge kubwa katika uagizaji wa mizigo toka China, ni uaminifu wa Wachina. Wachina wengi ni matapeli. Ukilipa pesa kwa Supplier, kuna mawili, kupata bila shida yoyote (utapeli) au kutapeliwa kwa njia yoyote ile, iwe kwa bidhaa feki au kuzungushwa.
Ilishanitokea mpaka mchina akakataa kusafirisha mizigo yangu kwa kutumia Silent Ocean akadai lazima forwarder awe ni Mchina etc. Ilibidi niwe mdogo kama piliton na kuwa mpole, kiasi kila alilotaka, nilikubaliana naye ingawa mzigo ulitumia mwaka na zaidi kufika badarini Dar. Napo TRA!!!!!!
Njia ya kuagiza kitu China yenye usalama ni kutumia makampuni kwa ajili ya kazi hiyo kama Alibaba (unalipa online) ambao, kwanza mnapowasiliana na suppliers mnatumia system yao kiasi kila kitu kinakuwa recorded na wanatoa garantii ya pesa zako na mzigo wako. Wakijichanganya, Alibaba anakurejeshea pesa yako. Waulize akina Janeth wa Silent Ocean huko China kama wanatoa garantii ingawa wanayo service ya kukulipia. Naomba niishie hapo