Midozenj01
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 422
- 422
Habari Wakuu, Kamakawaida mtafutaji hachoki, Leo bana nimekuja na kipengele hicho hapo juu kama heading inavyojieeza, naimani uzi huu utakuwa solution kwa wengi sana.
Mimi ni mpambanaji najitafuta nimekuwa nikihusle sana kulipia bidhaa zangu China kwa Suppliers hususani katika njia ambazo ni safe, Mwanzo nilikuwa nikitumia bank accounts but nikaacha kwakuwa kima ni kidogo badae nikahamia Alipay sasa nao wameweka limitations za miamala kwa Mwaka.
So it comes to be very hard now especially when you want to pay let say 20M at once.
All in All kwa mdau mwenye Experience na hizi mbanga naomba tupeane muongozo sababu naamini kuna njia ipo ikiwa importation za containers zinafanyika so people use to pay alot than you can imagine.
Anyway tuwekane sawa hapo wakuu hata kama ni DM it's OK let's do it.
Mimi ni mpambanaji najitafuta nimekuwa nikihusle sana kulipia bidhaa zangu China kwa Suppliers hususani katika njia ambazo ni safe, Mwanzo nilikuwa nikitumia bank accounts but nikaacha kwakuwa kima ni kidogo badae nikahamia Alipay sasa nao wameweka limitations za miamala kwa Mwaka.
So it comes to be very hard now especially when you want to pay let say 20M at once.
All in All kwa mdau mwenye Experience na hizi mbanga naomba tupeane muongozo sababu naamini kuna njia ipo ikiwa importation za containers zinafanyika so people use to pay alot than you can imagine.
Anyway tuwekane sawa hapo wakuu hata kama ni DM it's OK let's do it.