Haha .Huyo siwezi kumfuga mazingira ya nyumbani ,ninawataka wale ambao hawana madhara makubwa na sumu Kali kiongozi![]()
Fuga wote, ila sio huyu mwenye mdomo mweusi na kichwa kama jeneza(MAMBA MWEUSI), Siku akikasirika mtaa mzima utahamia kwenye kabati za mochwari.
Kila la kheri nyoka wote wanafugika tu kama paka.
![]()
Fuga wote, ila sio huyu mwenye mdomo mweusi na kichwa kama jeneza(MAMBA MWEUSI), Siku akikasirika mtaa mzima utahamia kwenye kabati za mochwari.
Kila la kheri nyoka wote wanafugika tu kama paka.
nimecheka sana dah watu mna maneno eti kichwa kama jeneza

Kiongozi kuna nyoka wa aina nyingi ,nyoka wenye madhara makubwa kama cobra ,black mamba siwahitajiDawa ya kutibu ukiumwa na hao nyoka nmesikia ni 250,000/=
Hata mm napenda nyoka,but tuu kufuga mende unaweza losti km senene zinamafuta sana na tamu kulia na.ugali
Na pia panya kumaliza ni rahisi zaid kwa dawa au paka
Maana panya wa ndan hawaliwi
Fuga paka,ni wanyama.wazur,wakalimu wachesh hawachoshi km mbwa tuu
Hebu nicheck fasta PMHabari zenu waungwana
Nina shida, natafuta nyoka aidha green snake au black snake.
ninapoishi saizi kuna tatizo la panya na Mende wanasumbua sana.
hivyo nimeona njia sahihi ni kufuga nyoka ili niweze kuwatokomeza viumbe hivi .
Uwepo wa nyoka utanisaidia kupungua kwa panya na Mende,sababu hawa wadudu watakuwa kitoweo cha nyoka.
msaada kama kuna mtu anaweza kunipatia nyoka nitamlipa kiasi chochote tutakachokubaliana na kama watapatikana nyoka wawii itakuwa vizuri zaidi.Au kama nikipewa maelekezo wapi nitawapata nyoka hao itakuwa msaada kwangu mimi.
shukran.
Hakuna jiwe linatibu sumu za nyoka usidanganye watuUbunifu mzuri andaa na uga wa kutosha usisahau na jiwe la kujitibia
Hawa paka wa siku hizi ni wakibisa kabisa bora nifuge Njerege tuu.Dawa ya kutibu ukiumwa na hao nyoka nmesikia ni 250,000/=
Hata mm napenda nyoka,but tuu kufuga mende unaweza losti km senene zinamafuta sana na tamu kulia na.ugali
Na pia panya kumaliza ni rahisi zaid kwa dawa au paka
Maana panya wa ndan hawaliwi
Fuga paka,ni wanyama.wazur,wakalimu wachesh hawachoshi km mbwa tuu
Hivi unauwezo wa kukaa sebleni na huyo nyoka asiye na madhala mpaka umchokozeKiongozi kuna nyoka wa aina nyingi ,nyoka wenye madhara makubwa kama cobra ,black mamba siwahitaji
Kuna nyoka ambao wapo friendly na hawana madhara mpaka uwachokoze
Paka wanazingua nimekuwa nao lkn hawana msaada
Nyoka siyo adui na sehemu penye kitoweo kama hvy hatokuwa na shida na MTU
Huo mzaha sasa?!Nahitaji mimi pia kufuga chatu na kenge, kwa mapambo tu!
Si ndiyo paka wa dot com hao mkuu!?Hawa paka wa siku hizi ni wakibisa kabisa bora nifuge Njerege tuu.
Paka wa siku hizi wamezoea kukaa kwenye masofa wakiangalia Tv alafu panya akipita anaishia kumtazama tuu,
Labda itakuwa hivyoSi ndiyo paka wa dot com hao mkuu!?
Watakuwa paka wa darSi ndiyo paka wa dot com hao mkuu!?
Hapana, hii kitu naitamani sana, japo changamoto zipo ila nikipata wataalam nadhani ntaweza kufanikisha...Huo mzaha sasa?!
Hapana, hii kitu naitamani sana, japo changamoto zipo ila nikipata wataalam nadhani ntaweza kufanikisha...