Msaada: Ninataka kufuga nyoka, wapi nitaweza kununua au kupata nyoka

Hapana, hii kitu naitamani sana, japo changamoto zipo ila nikipata wataalam nadhani ntaweza kufanikisha...
Kuna jamaa huku alikuwa na chatu wakuchezea wale waliotolewa meno..

Jamaa aliwafungia kwenye chumba akasafiri,yule jamaa sijui alikumbwa na nn alichelewa kurudi mpaka wale nyoka meno imewaota ,njaa wanasikia Kali

Wakawa wanatoa milio tu muda wote ,wanatuna ..wapangaji wa ile nyumba waliwaita Mali asili waje kuwachukua

Kuwa care ukitaka kuwafuga hawa wild animals
 
python-snake-418169.jpg

kazi kwako ila inabidi ufuate utaratibu wa maliasili na pia ukiwa unaishi na familia yako bila wageni itakusaidia sana maana atawakalili wote harufu zenu nje ya hapo kuna siku utakuta shangazi aliyekuja kukusalimia kutoka uyole bila taarifa yuko tumboni mwa chatu.
Kuna mengi ya kujifunza hapa, mmenena yale yaliyo halisi, nitafuatilia hili suala hasa huko maliasili kwa hao wataalamu!
Kile nitakachopata nitaleta mrejesho hapa
Kuna jamaa huku alikuwa na chatu wakuchezea wale waliotolewa meno..

Jamaa aliwafungia kwenye chumba akasafiri,yule jamaa sijui alikumbwa na nn alichelewa kurudi mpaka wale nyoka meno imewaota ,njaa wanasikia Kali

Wakawa wanatoa milio tu muda wote ,wanatuna ..wapangaji wa ile nyumba waliwaita Mali asili waje kuwachukua

Kuwa care ukitaka kuwafuga hawa wild animals
 
Hawa paka wa siku hizi ni wakibisa kabisa bora nifuge Njerege tuu.

Paka wa siku hizi wamezoea kukaa kwenye masofa wakiangalia Tv alafu panya akipita anaishia kumtazama tuu,
Ah ah ah ab ah ah

Paka inadepend na unavyo mlea huwa niwaelewa sanaa

Mleavyo ndio akaavyo maana wanaakili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom