py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Kuna jamaa huku alikuwa na chatu wakuchezea wale waliotolewa meno..Hapana, hii kitu naitamani sana, japo changamoto zipo ila nikipata wataalam nadhani ntaweza kufanikisha...
Jamaa aliwafungia kwenye chumba akasafiri,yule jamaa sijui alikumbwa na nn alichelewa kurudi mpaka wale nyoka meno imewaota ,njaa wanasikia Kali
Wakawa wanatoa milio tu muda wote ,wanatuna ..wapangaji wa ile nyumba waliwaita Mali asili waje kuwachukua
Kuwa care ukitaka kuwafuga hawa wild animals