Hata kama ana Kiwanja hazitoshi kama anataka nyumba ya vyumba viwili choo na jiko bila sebule huo ndiyo ukweliAcha ushamba...million kumi hanyanyui room 2?
Acha kukatisha tamaa wenzio
Kibanda cha kulinda kiwanja hata 5m inatoshaInatosha iyo mkuu,,,me nimejenga sehemu kajumba kama ako nimepangisha kulinda eneo;,,room mbili n.a. sebule
Umetumia tofali ngapi, bati ngapi,madirisha mangapi,mbao za kupaua ngapi,vyoo na bafu,kitchen fittings? Labor charge?nimemaliza kujenga nyumba wiki iliyopita hata mil.5 haijaisha! sasa hivi nakaribia kuweka solar ninaemjengea ahamie....kuwa makini na mafundi uchwara.
1.Kiwanja 2,500,000 unapata
2.Tofali 6' 2000×1000=2,000,000
3.Fundi 800,000
4.Mbao 1,200,000
5.Bati 60×15,000=900,000
6.Fundi kupaua 300,000
7.Dirisha chuma 80,000×4=320,000
8.Mirango 5×100,000=500,000
9.Cylingboard 20×14,000=280,000
10.Mbao cylingboard 600,000
11.Kufitisha 400,000
12.Cement 30×13,000=390,000
13.Mchanga kazi yote 340,000
Total=11,030,000.
Halo ni kwamba umenakshi kila kitu.
Uzoefu wangu kwa hapo ni dodoma, Arusha ndani ya 15km.
Dar na mwanza sipajui.
Fungi simamia mwenyewe na manunuzi fundi akutume wewe mwenyewe.
Angelis usikwamishwe kama una 10ml kipindi hiki cha jpm unaweza fanya lolote.
Mafanikio mema.
Bei zake zikoje mkuu, maana kuna fundi nilimpata nikataka anitolee kitu cha vyumba vitatu ananiambia 4m ikabidi nisitishe kwanzaNICHEKI PM NIKUUNGANISHE NA FUNDI KAMA UKO HAPA DSM ANAWEZA KUKUPA MWANGA,
Unaona sasa...mwambie fundi kwa ramani hiyo..itachukua tofari ngapi akikupa idadi ya tofari..mwambie ntakulipa kila tofari kwa shilingi 300 au 350...kwanza ukimwambia hvyo atajua upo vzr kwenye mambo ya ujenzi..kingine usiende kwa hao mafundi wanao jiita mafundi wakuu wakati wakifika site hawafanyi kazi hata kidogo sana sana nao wana wauzia kazi mafundi wadogo..tafuta fundi mdogo mpe kazi achana na hao wanao jiita mafundi wakuu..uone kama gharama itakuja hivyoBei zake zikoje mkuu, maana kuna fundi nilimpata nikataka anitolee kitu cha vyumba vitatu ananiambia 4m ikabidi nisitishe kwanza
Somo zuri mkuu live longUnaona sasa...mwambie fundi kwa ramani hiyo..itachukua tofari ngapi akikupa idadi ya tofari..mwambie ntakulipa kila tofari kwa shilingi 300 au 350...kwanza ukimwambia hvyo atajua upo vzr kwenye mambo ya ujenzi..kingine usiende kwa hao mafundi wanao jiita mafundi wakuu wakati wakifika site hawafanyi kazi hata kidogo sana sana nao wana wauzia kazi mafundi wadogo..tafuta fundi mdogo mpe kazi achana na hao wanao jiita mafundi wakuu..uone kama gharama itakuja hivyo
Asante sana mkuu kwa ushauri umenipa mwanga, hilo la kusema fundi mkuu inawezekana ndio nilikutana naye maana 4m sio mchezo kwa hali ya sasaUnaona sasa...mwambie fundi kwa ramani hiyo..itachukua tofari ngapi akikupa idadi ya tofari..mwambie ntakulipa kila tofari kwa shilingi 300 au 350...kwanza ukimwambia hvyo atajua upo vzr kwenye mambo ya ujenzi..kingine usiende kwa hao mafundi wanao jiita mafundi wakuu wakati wakifika site hawafanyi kazi hata kidogo sana sana nao wana wauzia kazi mafundi wadogo..tafuta fundi mdogo mpe kazi achana na hao wanao jiita mafundi wakuu..uone kama gharama itakuja hivyo
Nyumba hiyo ambayo hata mil 5 haijaisha ina vyumba vingapi? je umefanya finishing ya plasta nje na ndani? ni ya tofali za block?nimemaliza kujenga nyumba wiki iliyopita hata mil.5 haijaisha! sasa hivi nakaribia kuweka solar ninaemjengea ahamie....kuwa makini na mafundi uchwara.
Kama kiwanja unacho na nyumba ndogo ya kawaida let say room tatu na sebure unajenga boma na kuezeka,finishing utafanya kidogo kidogoHabar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
Hawa wanaosema wamejenga kwa 5m hamna hata mmoja alietoa mchanganuo.Nyumba hiyo ambayo hata mil 5 haijaisha ina vyumba vingapi? je umefanya finishing ya plasta nje na ndani? ni ya tofali za block?
Ahaahaa..Nyie watu wa humu jamvini bwana...sasa hapo umemsaidia nini Mdau. NDIO WAZO HILO?Afu chini afunge matairi ya trekta,asee ni ubunifu mkuu maana si Tanesco wala Dawasco(kama Dar) wataenda kudai bili zao,lazima wasahau tu wakidhani ni Gari LA mizigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mnachukulia poa nyumba ya vyumba vitatu jamani.Kama kiwanja unacho na nyumba ndigo ya kawaida let say room tatu na sebure unajenga boma na kuezeka,finishing utafanya kidogo kidogo