lumbi lumbi
Senior Member
- May 30, 2017
- 173
- 160
Yaishe Asee..Sikumaanisha yafike huku!!Chukua gunzi au jiwe upunguze ny.ege
Yaishe Asee..Sikumaanisha yafike huku!!Chukua gunzi au jiwe upunguze ny.ege
Maisha ni taratibu mkuu nami nataka nijibane huku huku mjini nilipo, nashukuru kwa ushauri.Hiyo hela ni ndogo sana, huwezi kujenga nyumba labda kama unajenga kijijini. Ushauri wangu endelea kupiga vibarua uongeze zaidi, ila sasa hizo milioni kumi ulizo nazo anza ujenzi usikae nazo unaweza kuzitumia kunyume na matumizi ya ujenzi.
Ishu sio nyumba kubwa nimeplan kuanza na nyumba ndogo badae mambo yakikaa poa ntajenga kubwa,we anza kujenga sio pesa ila wito.
mimi nilianza ujenzi nikiwa na kiasi kidogo sana cha pesa nikajenga msingi na nikapandisha kozi nne nikakaa miaka minne ndipo nikaendelea lakini kwa sababu siko dar vinginevyo ningeshahamia.
pia babu yang baada ya kusumbuliwa na kodi mjini aliamia nyumba imejengwa upande ndo maana nakwambia we anza fedha zingine zitakuja wakati ukiendelea.
Mm sio fundi ila iyo pesa itaweza kutosha nyumba ndogo mpaka mabati ila finishing utaendelea nayo taratibu naamini finishing inaweza kua na gharama kuliko kupandisha nyumba mf: atakae fanya finishing kua nyumba yake ai sakafie na dhahabu tupu ni tofauti na ww utake sakafia na mchanga na siment. Tafuta ramani mpe mkadiriaji baada ya hapo tafuta fundi mzuri na simamia ujenzi ww mwenyewe naamini kama ni vyumba viwili vya kawaida sana kuanzia mil7 utakua umepiga hatua kubwa sana: wengi wa watu wa humu jf ukiwasikiliza iyo pesa utamalizia baa usimsikilize we kaanze ujenzi, watu wanajenga mpaka kwa kudunduliza sembuse ww 10m tayari unayo mkononi! Msingi peke yake kwa nyumba ndogo kama hyo cdhani kama 3m itaisha maana mziki upo kwenye msingi, mbao na bati hapo ktkt 2m inapandishaHabar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
hata hiyo niliyokutumia ni nyumba ndogo (lakini sio kama wanavyofikiri yaani ni nyumba ya uwani.Ishu sio nyumba kubwa nimeplan kuanza na nyumba ndogo badae mambo yakikaa poa ntajenga kubwa,
Ndiyoo inatoshaa nyumba ya udongoHabar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
Nashukuru sana mkuuMm sio fundi ila iyo pesa itaweza kutosha nyumba ndogo mpaka mabati ila finishing utaendelea nayo taratibu naamini finishing inaweza kua na gharama kuliko kupandisha nyumba mf: atakae fanya finishing kua nyumba yake ai sakafie na dhahabu tupu ni tofauti na ww utake sakafia na mchanga na siment. Tafuta ramani mpe mkadiriaji baada ya hapo tafuta fundi mzuri na simamia ujenzi ww mwenyewe naamini kama ni vyumba viwili vya kawaida sana kuanzia mil7 utakua umepiga hatua kubwa sana: wengi wa watu wa humu jf ukiwasikiliza iyo pesa utamalizia baa usimsikilize we kaanze ujenzi, watu wanajenga mpaka kwa kudunduliza sembuse ww 10m tayari unayo mkononi! Msingi peke yake kwa nyumba ndogo kama hyo cdhani kama 3m itaisha maana mziki upo kwenye msingi, mbao na bati hapo ktkt 2m inapandisha
Fundi hebu tufafanulieUnajenga Nyumba room mbili na sebule, choo cha ndani na njee, gipsum, tails na rangi. Ilimladi uwe na Kiwanja ambacho ni flat plot.
Nipe Kazi ya ufundi mkuu.
Lkn inaonekana kubwa mkuu nimeshtushwa sana kuiona Mungu ni mwema ntafanikisha , nashukuru mkuuhata hiyo niliyokutumia ni nyumba ndogo (lakini sio kama wanavyofikiri yaani ni nyumba ya uwani.
nilitumia hela nyingi kumlipa choraji kwa wakati ule na mshahara wangu ulikuwa 120,000/- na ramani nililipia 400,000/- kwa zote mbili.
Habar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
mambo ni mambo, aiseeDaaaa! JF bwana.
😀😀😀😀
GoodWatu ambao hamjawahi kujenga ndio mpo mbele kumkatisha mwenzenu tamaa. Milion 10 inatosha kuanza ujenzi. Unaweza kuanza ujenzi wa nyumba ndogo ya kawaida ya vyumba vitatu, sebure ,jiko na dinning ILA hauwezi kumalizia kwa pesa hiyo hiyo, jenga itakapoishia jipange tena taaratibu utajikuta umekuwa mwenye nyumba. Kumbuka maisha ni nyumba bila kuwa na sehemu nzuri ya kuishi ni ngumu kupata maendeleo.
Mkuu hongera kwa kuwa na hiyo ml.10 ila hauwezi kujenga nyumba kwa pesa hizo ..hapo utaweza kuzuia kiwanja tuHabar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari