Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 268
- 568
Sehemu ya 1.
sina budi kuendeleza hii stori.
Iko hivi wife na mimi tulifahamiana Kijijini. Nilikuwa F6 yeye akiwa F4 leaver. Nilimsaidia akapata Chuo cha Takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo tulioana, mimi nilikuwa nafanya kazi. Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri.
Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini. Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nili enjoy ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani. Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5.
Baadae Mama yake akapitia wakati mgumu, tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife ndiye mwenye kipato kizuri akakopa Benki Milioni 27 lakini nyumba haikuisha.
Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya Ujenzi kwa Mama Mkwe. Majuzi alipata bingo Ofisini kwao (Milioni 20) ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo. Lahaulaaa!! Si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na Watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke Milioni 20 kwao? Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Ndani ni kuchuniana.
Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Sehemu ya 2
sina budi kuendeleza hii stori.
Iko hivi wife na mimi tulifahamiana Kijijini. Nilikuwa F6 yeye akiwa F4 leaver. Nilimsaidia akapata Chuo cha Takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo tulioana, mimi nilikuwa nafanya kazi. Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri.
Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini. Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nili enjoy ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani. Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5.
Baadae Mama yake akapitia wakati mgumu, tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife ndiye mwenye kipato kizuri akakopa Benki Milioni 27 lakini nyumba haikuisha.
Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya Ujenzi kwa Mama Mkwe. Majuzi alipata bingo Ofisini kwao (Milioni 20) ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo. Lahaulaaa!! Si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na Watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke Milioni 20 kwao? Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Ndani ni kuchuniana.
Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Sehemu ya 2