Msaada: Nina Millioni 10 itatosha kujenga nyumba?

Msaada: Nina Millioni 10 itatosha kujenga nyumba?

hata hiyo niliyokutumia ni nyumba ndogo (lakini sio kama wanavyofikiri yaani ni nyumba ya uwani.
nilitumia hela nyingi kumlipa choraji kwa wakati ule na mshahara wangu ulikuwa 120,000/- na ramani nililipia 400,000/- kwa zote mbili.
Msaada wa hako karamani mkuu.Natanguliza shukrani
 
Ni swali gumu kujibiwa kutokana na mambo ya kuzingatia, ambayo hutofautiana sana kutoka mazingira ya sehemu moa mpaka nyingine.

Kufupisha story jibu ni ndio inatosha.
 
Mkuu hiyo pesa inatosha kabsaa..
Unaweza kununua nyumba ambayo haijaisha yaani bangalor kwa bei hata ya milion 7 then ukaimalizia kidogo kidog
Sema sasa itategemea upo maeneo gan unapotaka kujenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiwanja tu ninacho mkuu
Nikuambie kitu dada,kama umeamua kujenga nyumba simple fanya hivyo,hakuna formula kwenye hizo issue. Nikupe mfano labda ulipiga budget ya kununua mbao za kuezeka at market price ila mara zali limekuangukia kuna mtu anaclear stock ya mbao ili afanye mambo mengine,umeshacut cost tayari then unamove next step. Wewe anza kujenge mambo mengine yatajulikana mbele kwa mbele.
 
Naomba na mm ni comment kidogo hapa ...huyu jamaa kama mpaka Leo hajajenga kwa hela hiyoo aliyokuwa nayo basi atasubr sanaaa
 
453fff7126590fa5221128b6442aa2c0.jpg
c0f4d8726112f3dd4e91a38a60ec852c.jpg
962d0b20b61f3366cd6312a533ef6447.jpg
Mkuu hii nyumba kwa 8 ni nyingi sana
 
Back
Top Bottom