Hali ya sasa hivi mafundi wengi hawana kazi unakuta fundi ana maliza hadi miezi miwili au mitatu hana kazi..na usijaribu kbs kupatana na fundi ujenzi wa nyumba nzima nakwambia utalia..arf huyo uliyepatana nae akiwa site kazi yake yeye huwa eti kusimamia analeta mafundi wengine kabisa yani hapo katika ujenzi huku tunaita kuuziana kazi..kwa hiyo kama kakwambia gharama ni milioni 4.. Yeye atawauzia hao kujenga kwa tofari na hao mara nyingi wana wauzia shilingi 200 hadi 250.. Kwa hiyo yeye kwenye kila tofari ana uhakika wa kubaki na shilingi mia..bado cha juu alicho kupiga..yani ukija kumpa na hela ya material akanunue yeye ndo utalia zaidi...na uwe makini wakati wa ujenzi wasafishe msingi vizuri chini wakati wana jenga..wengine huwa wana shindwa kupata level wana force kuweka dongo chini arf tofari juu baada ya mda mvua zikianza kunyesha madongo yana sinyaa tofari inashuka chini ndo mwanzo wa nyumba kupata nyufa za kutosha..nyumba msingi muwe makini sana na mafundi kwenye msingi..mkikosea msingi huku juu hata mrembe vipi..mtakuwa na kazi ya kuziba viraka tu..kila raheli[emoji120]Asante sana mkuu kwa ushauri umenipa mwanga, hilo la kusema fundi mkuu inawezekana ndio nilikutana naye maana 4m sio mchezo kwa hali ya sasa
Nimecheka sana asee japo jibu bayaNunua kontena li-modify iwe nyumba.
Hata mjini unaweza!Labda kijijini
Kibanda cha kulinda kiwanja hata 5m inatosha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akae kwenye kontena Kwani yeye amekuwa makinikia?
Haitoshi iyo mkuu bet ata timu 3 ili zijizarishe ujenge jumba la maana [emoji14][emoji14]Habar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
Usimkatishe tamaa hapo anajenga vyumba viwili na ukumbiHiyo hela ni ndogo sana, huwezi kujenga nyumba labda kama unajenga kijijini. Ushauri wangu endelea kupiga vibarua uongeze zaidi, ila sasa hizo milioni kumi ulizo nazo anza ujenzi usikae nazo unaweza kuzitumia kunyume na matumizi ya ujenzi.
Hiyo inatosha kununulia kiwanja tu .Habar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
jiwedogo mbona avatar yako ni jiwekubwa.Naunga mkono hoja
[emoji23][emoji23][emoji23]Akae kwenye kontena Kwani yeye amekuwa makinikia?
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Afu chini afunge matairi ya trekta,asee ni ubunifu mkuu maana si Tanesco wala Dawasco(kama Dar) wataenda kudai bili zao,lazima wasahau tu wakidhani ni Gari LA mizigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hiyo mkuu fugia kuku kwanzaHabar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
Carry mali ya traffic police dar.Nunua carry fanya biashara ujenge nyumba na sio kachumba
HahaaaAkae kwenye kontena Kwani yeye amekuwa makinikia?
AlizipatajeAfu chini afunge matairi ya trekta,asee ni ubunifu mkuu maana si Tanesco wala Dawasco(kama Dar) wataenda kudai bili zao,lazima wasahau tu wakidhani ni Gari LA mizigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]