Msaada: Nina Millioni 10 itatosha kujenga nyumba?

Msaada: Nina Millioni 10 itatosha kujenga nyumba?

kama ni swala la kukaa kwako inatosha! jenga msingi wote kisha inua vyumba vitatu. kwa ramani nanayofikiria unaweza kuinua jiko sebule na sehemu ya kulia chakula kisha unavifanya kwa muda jiko chumbani kwako dining watoto halafu sebule kama kawaida. au jiko sebule ,watoto dining wewe lala sebuleni mlango uko jikoni.
madirisha mengine ziba kwanza utaratibu utafuata.
tofali 2500 zinakutosha.
kiwanja 3,000,000/-
 
Unajenga Nyumba room mbili na sebule, choo cha ndani na njee, gipsum, tails na rangi. Ilimladi uwe na Kiwanja ambacho ni flat plot.
Nipe Kazi ya ufundi mkuu.
Karibu,. eneo ni zuri liko flat miundo mbinu shwali
 
Afu chini afunge matairi ya trekta,asee ni ubunifu mkuu maana si Tanesco wala Dawasco(kama Dar) wataenda kudai bili zao,lazima wasahau tu wakidhani ni Gari LA mizigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hahahhaha
 
Habar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
Mkuu haitoshi
 
kama ni swala la kukaa kwako inatosha! jenga msingi wote kisha inua vyumba vitatu. kwa ramani nanayofikiria unaweza kuinua jiko sebule na sehemu ya kulia chakula kisha unavifanya kwa muda jiko chumbani kwako dining watoto halafu sebule kama kawaida. au jiko sebule ,watoto dining wewe lala sebuleni mlango uko jikoni.
madirisha mengine ziba kwanza utaratibu utafuata.
tofali 2500 zinakutosha.
kiwanja 3,000,000/-
Kiwanja ninacho boss
 
Kibarua mkuu
Hiyo hela ni ndogo sana, huwezi kujenga nyumba labda kama unajenga kijijini. Ushauri wangu endelea kupiga vibarua uongeze zaidi, ila sasa hizo milioni kumi ulizo nazo anza ujenzi usikae nazo unaweza kuzitumia kunyume na matumizi ya ujenzi.
 
Kiwanja ninacho boss
we anza kujenga sio pesa ila wito.
mimi nilianza ujenzi nikiwa na kiasi kidogo sana cha pesa nikajenga msingi na nikapandisha kozi nne nikakaa miaka minne ndipo nikaendelea lakini kwa sababu siko dar vinginevyo ningeshahamia.
pia babu yang baada ya kusumbuliwa na kodi mjini aliamia nyumba imejengwa upande ndo maana nakwambia we anza fedha zingine zitakuja wakati ukiendelea.
 
lumbi lumbi una kiherehere sana, nilimuuliza muhusika ili akishajibu niendelee kumshauri. acha ny.ege ndugu.
Kwahiyo wewe ushauri wako mpaka ujue alipotoa fedha..[emoji1] ..Nasubiri akujibu nione utamshauri nini!!
 
we anza kujenga sio pesa ila wito.
mimi nilianza ujenzi nikiwa na kiasi kidogo sana cha pesa nikajenga msingi na nikapandisha kozi nne nikakaa miaka minne ndipo nikaendelea lakini kwa sababu siko dar vinginevyo ningeshahamia.
pia babu yang baada ya kusumbuliwa na kodi mjini aliamia nyumba imejengwa upande ndo maana nakwambia we anza fedha zingine zitakuja wakati ukiendelea.
naweza kukupa hicho kiramani japo nakushauri ukibadilishe ukiongezee chumba kimoja ni pm kam uko serious
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kibarua mkuu
Hiyo hela ni ndogo sana, huwezi kujenga nyumba labda kama unajenga kijijini. Ushauri wangu endelea kupiga vibarua uongeze zaidi, ila sasa hizo milioni kumi ulizo nazo anza ujenzi usikae nazo unaweza kuzitumia kunyume na matumizi ya ujenzi.
Lengo langu ilikuwa nijue chanzo cha hizo hela nimshauri wala sikuwa na nia mbaya. japo wapo akina lumbi lumbi wanawasha washa map.umbu kama sio mashavu ya k.um... ameingilia asilolijua
 
Back
Top Bottom