TONY MTAKAYOTE
Senior Member
- Jan 24, 2013
- 150
- 69
- Thread starter
- #61
POLE sana ila naomba ujibane maana hapo una MEALS NA ACCOMODATION mil 2.09 per year .so inatosha kukulipia ada kama kweli unalenga Elimu ya Juu
ahsante mkuu.
POLE sana ila naomba ujibane maana hapo una MEALS NA ACCOMODATION mil 2.09 per year .so inatosha kukulipia ada kama kweli unalenga Elimu ya Juu
dogo badala ya kwenda bodi ya mikopo unakuja JF akili gani hiyo hapa utapata kejeli na wrong information tu... maisha ni kama keybord lazima ujue kitufe sahihi cha kubonyeza..... acha majungu na siasa ....for sure kuna makosa ya kiufundi yamefanyika nenda bodi acha kupoteza muda hapa
nataka niwafate ofisini kwao, kwani hawawezi kuniongezea?
Mimi naenda MUCE, nimepewa 25,000/= hapa nimechanganyikiwa ila MUNGU YUPO
Hapa kazi tu...
Unajisumbua. Subiri kukata rufaa
Yaani sipendi kweli kweli uandishi wa aina hii!!
Hivi 's' na 'x' zinafanana? Halafu wewe ni kijana "msomi" unatarajia kwenda chuo kikuu??
Kwa nini uandike hivi kama mjinga mjinga wa wapi sijui huko? Hata sijasoma ujumbe wako, nikiona mtu kaandika kwa staili hii nachukia sana!!
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga? (kwa sauti ya FaizaFoxy)
kukata rufaa wanaanza lini?
Chagua wa kusaidia
1 Mtu aliyekuwa na miguu
2 Mtu mwenye miguu ila viatu hana
3 Mwenye mkuu na viatu
Halafu huyo ndiyo anajiita "msomi".
Utakuta huyo ndio katika wale wanaovaa suruali chini ya makalio.
Ukisharipoti chuo..
Jaribu kuappeal, ikishindikana basi inabidi hela yako ya kujikimu uwe unaingiza kwenye ada maana hamna namna
nikiwakomalia wanaweza kuongeza?
Au mpaka kuandika barua?
Inaweza chukua muda gani kupata feedback?
ni ngumu lakini fanya hivi:
nenda chuoni endelea na masomo! lile bumu la kwanza (nadhani ni laki sita na ushee) lipia ada nusu semister wakati huohuo ukiendelea na michakato ya kukata rufaa. ukibahatika mkopo wako unaweza kubahatika!