TONY MTAKAYOTE
Senior Member
- Jan 24, 2013
- 150
- 69
- Thread starter
- #81
ni ngumu lakini fanya hivi:
nenda chuoni endelea na masomo! lile bumu la kwanza (nadhani ni laki sita na ushee) lipia ada nusu semister wakati huohuo ukiendelea na michakato ya kukata rufaa. ukibahatika mkopo wako unaweza kubahatika!
shukran sana mkuu.