mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,558
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, nimechaguliwa mech eng. Cha ajabu mkopo umetoka , nimekuta kwenye tuition fee wameweka 80,000/= kwa kweli sikuamini, nikarudia kama mara 3 hv. Ilikuwa kweli.
Ada ya chuo ni 1,020,000/=
naomben ushauri nifanye nini?
Maana wazee nao ni shida tu, hicho kiasi kilichobaki kinaniumiza kichwa sana.
Natanguliza shkrani.
Mshukuru sana Mungu! Unasoma chuo kwa ada ndogo kuliko ya primary/secondary private! Utalipiwa stahili zingine zote kwa ukamilifu wake!
Unaonaje ukilipiwa ada yote lakini vingine vyote ujitegemee?