Msaada: Nimepata mkopo HESLB 7.8%

Msaada: Nimepata mkopo HESLB 7.8%

kuna utaratbu gan wa kuxubr meal allowance wakat ucpo kamlxha karo hata chuo awakupokei bum huxain na wala hostel hupangw MXAADA PREASE

hapo inabidi kujikamua tu, angalau kufikisha nusu ya ada ili kupata boom na mengine.
 
POLE sana ila naomba ujibane maana hapo una MEALS NA ACCOMODATION mil 2.09 per year .so inatosha kukulipia ada kama kweli unalenga Elimu ya Juu
 

dogo badala ya kwenda bodi ya mikopo unakuja JF akili gani hiyo hapa utapata kejeli na wrong information tu... maisha ni kama keybord lazima ujue kitufe sahihi cha kubonyeza..... acha majungu na siasa ....for sure kuna makosa ya kiufundi yamefanyika nenda bodi acha kupoteza muda hapa
 
maajab ili ufanye application unalipa 30000 hlf unapata 20000...biashara gan ya hasara hii
 
Dah nmekaa na mdogo angu hapa yani kasoma kayumba toka primary leo hii anakuja kupata 15,000 ada. Kweli jamani hii ni haki?
Ada ni 1.3ml na hata kama akisema asubiri hilo boom hapewi mpaka afanye registration. Dogo toka asubuh amejifungua ndani analia..ama kweli tumeanza kuisoma namba Hapa kazi tu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna utaratibu up wa kuxubr meal alnwance wakat bila kukamlxha mchango na karo chuo hawakupokei bum huxain na wala bwen hupangiwi inakuaje apo uxhaur mkubwa
Yaani sipendi kweli kweli uandishi wa aina hii!!
Hivi 's' na 'x' zinafanana? Halafu wewe ni kijana "msomi" unatarajia kwenda chuo kikuu??
Kwa nini uandike hivi kama mjinga mjinga wa wapi sijui huko? Hata sijasoma ujumbe wako, nikiona mtu kaandika kwa staili hii nachukia sana!!
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga? (kwa sauti ya FaizaFoxy)
 
Last edited by a moderator:
Pole mpendwa,lakn mi nahisi wamekosea badala ya 800000 wameandka 80000, nenda heslb km upo ada kaeleze your situation ili ukate rufaa, wanaweza kukuongezea, try it if you can dia
 
Pole aisee. Ila sorry hamna namna, ngoja tu sindano ya ng'ombe iwaingie kisawasawa. wiki mbili zilizopita mlikuwa na uhuru wa kuchangua kati ya elimu bure au kulipia mkachagua kulipia.
 
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, nimechaguliwa mech eng. Cha ajabu mkopo umetoka , nimekuta kwenye tuition fee wameweka 80,000/= kwa kweli sikuamini, nikarudia kama mara 3 hv. Ilikuwa kweli.
Ada ya chuo ni 1,020,000/=
naomben ushauri nifanye nini?
Maana wazee nao ni shida tu, hicho kiasi kilichobaki kinaniumiza kichwa sana.
Natanguliza shkrani.

Kuna muda wa kukata rufaa huwa wanatoa...Yaani wale ambao hawajawa satisfied na mikopo yao kuwaandikia barua na evidences kuwa mikopo waliyoipata haiwatoshi kabisaa.Keep tuned kwenye website yao(HESLbl)
 
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, nimechaguliwa mech eng. Cha ajabu mkopo umetoka , nimekuta kwenye tuition fee wameweka 80,000/= kwa kweli sikuamini, nikarudia kama mara 3 hv. Ilikuwa kweli.
Ada ya chuo ni 1,020,000/=
naomben ushauri nifanye nini?
Maana wazee nao ni shida tu, hicho kiasi kilichobaki kinaniumiza kichwa sana.
Natanguliza shkrani.

Shukuru ulichopewa mkuu...kuna mwenzio mmoja tuition fee ana 0%...ukizingatia ada ya chuo ni 1300000
 
Back
Top Bottom