TONY MTAKAYOTE
Senior Member
- Jan 24, 2013
- 150
- 69
- Thread starter
- #21
Kazi Tu 🙂
poa, ahsante.
Kazi Tu 🙂
penye nia pana njia ,,nenda kamuone kiongozi wako wa kanisa au msikiti wambie shida yako naimani watakuchangia na utaenda chuo
Shukuru mungu umepata japo boom wengine awajapata kabisa
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, nimechaguliwa mech eng. Cha ajabu mkopo umetoka , nimekuta kwenye tuition fee wameweka 80,000/= kwa kweli sikuamini, nikarudia kama mara 3 hv. Ilikuwa kweli.
Ada ya chuo ni 1,020,000/=
naomben ushauri nifanye nini?
Maana wazee nao ni shida tu, hicho kiasi kilichobaki kinaniumiza kichwa sana.
Natanguliza shkrani.
Jina lako tu duuuh MTAKAYOTE..
Shukuru hata hiyo wenzio hawajapata kabisa..jibane tu ile meal allowance itumie vizuri uweze kulipa at least semester ya pili
Duh, nadhani hii ndo namba yenyewe tuliyokuwa tunaingonjea mkuu.
ivi kuna wa diploma aliyeunganisha bachelor ameomba mkopo akapata
chuo kama wanalipa kwa semester. angalia unasoma cozi ngap na zinagharimu kias gan cha fedha. kisha jaribu kutafuta wahisani na kata pesa kidogo toka kwenye meal and accomodation
A-level nilisoma serikalini ada ilikuwa 70,000/=
hiyo sijui, but wanasema hawajapata.
Mimi form 6 to B.E
A-level nilisoma serikalini ada ilikuwa 70,000/=
Jina lako tu duuuh MTAKAYOTE..
Shukuru hata hiyo wenzio hawajapata kabisa..jibane tu ile meal allowance itumie vizuri uweze kulipa at least semester ya pili
Pole. Chukua muda wako ukawaone wakupe way out!
labda ungemchagua yule mgombea yule mwingine yasinge kupata haya.Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, nimechaguliwa mech eng. Cha ajabu mkopo umetoka , nimekuta kwenye tuition fee wameweka 80,000/= kwa kweli sikuamini, nikarudia kama mara 3 hv. Ilikuwa kweli.
Ada ya chuo ni 1,020,000/=
naomben ushauri nifanye nini?
Maana wazee nao ni shida tu, hicho kiasi kilichobaki kinaniumiza kichwa sana.
Natanguliza shkrani.
kuna mmoja wa TIA kapata sijui watawapa wote au vp