Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo. Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.

Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto. Je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu!
Sasa hao ndio wengi?
 
Umeshalala na wanawake 180. Una umri wa miaka 33. Tukichukulia kwamba umeanza mapenzi ukiwa na miaka 20, maanake kwa miaka 13 umelala na wanawake 180. 180/13= 14. Kwahiyo kwa mwaka mzima unalala na wanawake 14 tu, ambayo ni sawa na mwanamke 1 kwa mwezi!! Kijana hebu acha uzembe unadhani hilo dushee ulipewa la kuendea chooni tu? Bure kabisa..!
Loh yuhu kijana kapoteza mda na akili zake wanawake 180 una miaka 33. Let say kila mwana mke ulilala nae ×3 tu 3×180=540 f**ks na kila unapo lala unachukua 45min. Manaake hapo 45min×540=24300minutes÷60=405hrs ÷24hrs, ulipoteza masaa 405, kwa jumla ya ngono bila hata kupata mtoto, ndo maana mnafanya sisi masikini kutukwana "pple are busy making money ur bzy on useless sex" loh.
 
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo. Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.

Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto. Je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu!
Nenda hospital kapime magonjwa yote makubwa
 
Mtoto unapata kama kawaida ukitulia na ukaacha huo uharamia,tafuta mwanamke mmoja tuu japo sio rahisi
 
Umeshalala na wanawake 180. Una umri wa miaka 33. Tukichukulia kwamba umeanza mapenzi ukiwa na miaka 20, maanake kwa miaka 13 umelala na wanawake 180. 180/13= 14. Kwahiyo kwa mwaka mzima unalala na wanawake 14 tu, ambayo ni sawa na mwanamke 1 kwa mwezi!! Kijana hebu acha uzembe unadhani hilo dushee ulipewa la kuendea chooni tu? Bure kabisa..!
we bure kabisa
 
Unahitaji msaada wa kiroho.

Nenda kanisani, mwombe MUNGU na uwe unasoma Biblia.

Lakini pia, hebu badili ID name yako.
Nambua Mungu na ipo siku nitakua huru.nilikua mraibu wa kamari now Mungu kanifungua.kilichobaki ni kuacha umalaya
 
Mimba ngapi ushaambiwa!? Tuanzie hapo.
Demu wangu mmoja alijifunguaga ila mtoto hakumaliza siku mbili kafa.kisa ni kutoka udenda.huyu demu nilienae sasa mimba mbili zimetoka.hizo zingine wanabeba wanawake ambao nimekula tunda kimasihara hivyo nakua sijawaelewa kiivo
 
Ushanunua Malaya 160 wa kuwatongoza wa mtani wanafika 20 pull umeanza kupiga toka 2010 ivi nitapata kweli mtoto
Kapime kwanza ukimwi afu ndio uje ulize mtoto
Sina ngoma labda niwe nimepata saivi maana nina miezi kama 4 sijapima
 
Duh mademu wote uliowala lkn ata mtoto wa kusingiziwa huna mbona kimbembe aisee
 
Mkuu kweli wewe ni true definition ya MASTER KEY
 
Loh yuhu kijana kapoteza mda na akili zake wanawake 180 una miaka 33. Let say kila mwana mke ulilala nae ×3 tu 3×180=540 f**ks na kila unapo lala unachukua 45min. Manaake hapo 45min×540=24300minutes÷60=405hrs ÷24hrs, ulipoteza masaa 405, kwa jumla ya ngono bila hata kupata mtoto, ndo maana mnafanya sisi masikini kutukwana "pple are busy making money ur bzy on useless sex" loh.
Kati ya vijana wanaolala pazuri na mimi nipo.sio sio mzembe kiasi hicho.ila kuna ukweli nimepoteza pesa ila cha msingi ni kuangalia mbele na kuacha upuuzi
 
Back
Top Bottom