Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.ktk maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.sasa wasiwasi wangu mim mpaka sasa sina mtoto je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu
Umelala na wanawake 180, una umri gani? Una mental disorder ya ngono.
 
Yaani kati ya hao wote hakuna hata mmoja aliyewahi kukusingizia mtoto?
Nishapata kesi zaidi ya sita za mimba ila mazingira na inategemea na demu alienipa taarifa za mimba. Nyingine huwa nazikaa kulingana na mazingira niliekutana na demu
 
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.ktk maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.sasa wasiwasi wangu mim mpaka sasa sina mtoto je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu
Umeshalala na wanawake 180. Una umri wa miaka 33. Tukichukulia kwamba umeanza mapenzi ukiwa na miaka 20, maanake kwa miaka 13 umelala na wanawake 180. 180/13= 14. Kwahiyo kwa mwaka mzima unalala na wanawake 14 tu, ambayo ni sawa na mwanamke 1 kwa mwezi!! Kijana hebu acha uzembe unadhani hilo dushee ulipewa la kuendea chooni tu? Bure kabisa..!🤣🤣🤣🤣
 
Nenda hospitali
kwa umalaya huo sidhani kama hujawahi kuugua magonjwa ya zinaa na magonjwa hayo kunawakat huwez kusababisha ugumba

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Inategemea, mie nilipitia huko na namshukuru mungu mpaka nimeacha uzinzi, sikuumwa hayo maradhi na ujinga kabisa mie ndomu sikuwahi kuiweza.
 
Ushanunua Malaya 160 wa kuwatongoza wa mtani wanafika 20 pull umeanza kupiga toka 2010 ivi nitapata kweli mtoto
Kapime kwanza ukimwi afu ndio uje ulize mtoto
 
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo. Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.

Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto. Je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu!
Mpaka sasa bado umelala? kumekucha mzee, Amka sasa utandike kitanda
 
Back
Top Bottom