Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 843
- 1,921
Habari ndugu zangu....
Nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 28 na nimeoa nina mtoto mmoja, Kabila langu ni Mdigo mtu wa Tanga.
Maisha yangu ni ya kawaida, nafanya kazi kwa masaa I mean naweza ingia kazini saa 10 Alfajiri mpaka saa 5 asubuhi nipo nyumbani. Suala la kupata elfu 30 kwa siku kwangu ni la kawaida sana. Napata muda mwingi wa kushinda nyumbani na mke wangu.
Tatizo langu nasumbuliwa na kuwaza ngono tena nawaza haswa, naweza cheki XX sometime napiga punyeto, naweza nunua madada poa telegram, naweza kwenda Kimboka yani nina vurugu japo nina mke yupo ndani
Nimejaribu kuikataa hii hali nikidhani kuoa ni kutibu hili tatizo ila nimekuwa vile vile. Nikitoka kazini nalala kidogo, nikiamka naingia telegram nacheki mademu wanavojiuza nanunua naenda lala nae.
SILIDHIKI kingono kesho nataka tena na tena na tena. Nikiwa sina hela labda majukumu yameingiliana basi nadili kuangalia tu picha zao na viji-crip vyao hata saa 4 nachezea simu mpk ni ugomvi kwa wife.
Nahitaji msaada aisee, najiuliza nimelogwa? Nina jini? najiendekeza? Au ni mwili wangu tu.
Katika ukuaji wangu nilikuwa naogopa sana mademu nilikuwa mtu wa punyeto tu. Nimekuja kumuingilia mwanamke nikiwa na miaka 21 ila idadi ya Wanawake niliolala nao tangu hapo mpaka sasa tena kwa kasi ya ajabu Yani sio chini ya mia mbili(200)
Sio utani kabisaa aisee mpaka 4some nimefanya sana (mwanaume mmoja wanawake wa3)
Nahitaji msadaa niachane na hii hali nibaki na mke wangu. Nimepima juzi UKIMWI sina nikajiapiza sitaki demu ila asubuhi ya leo kipindi natoka kazini nishapitia kwa demu nimefanya (3some). Nimewanunua nimesex nao na si kwamba nitapiga kimoja nilale nop show show.
Kipindi sina kazi maalumu sina kipato chochote nilikuwa sina hela ila napiga sound mademu na huwa hawakatai so nilikuwa malaya wa kutongoza yaani sikumbuki kama nani alinikataaga nikitongoza hukatai yani kama vile wananiona LIMINIHOO...
Msaada, USHAURI....
Nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 28 na nimeoa nina mtoto mmoja, Kabila langu ni Mdigo mtu wa Tanga.
Maisha yangu ni ya kawaida, nafanya kazi kwa masaa I mean naweza ingia kazini saa 10 Alfajiri mpaka saa 5 asubuhi nipo nyumbani. Suala la kupata elfu 30 kwa siku kwangu ni la kawaida sana. Napata muda mwingi wa kushinda nyumbani na mke wangu.
Tatizo langu nasumbuliwa na kuwaza ngono tena nawaza haswa, naweza cheki XX sometime napiga punyeto, naweza nunua madada poa telegram, naweza kwenda Kimboka yani nina vurugu japo nina mke yupo ndani
Nimejaribu kuikataa hii hali nikidhani kuoa ni kutibu hili tatizo ila nimekuwa vile vile. Nikitoka kazini nalala kidogo, nikiamka naingia telegram nacheki mademu wanavojiuza nanunua naenda lala nae.
SILIDHIKI kingono kesho nataka tena na tena na tena. Nikiwa sina hela labda majukumu yameingiliana basi nadili kuangalia tu picha zao na viji-crip vyao hata saa 4 nachezea simu mpk ni ugomvi kwa wife.
Nahitaji msaada aisee, najiuliza nimelogwa? Nina jini? najiendekeza? Au ni mwili wangu tu.
Katika ukuaji wangu nilikuwa naogopa sana mademu nilikuwa mtu wa punyeto tu. Nimekuja kumuingilia mwanamke nikiwa na miaka 21 ila idadi ya Wanawake niliolala nao tangu hapo mpaka sasa tena kwa kasi ya ajabu Yani sio chini ya mia mbili(200)
Sio utani kabisaa aisee mpaka 4some nimefanya sana (mwanaume mmoja wanawake wa3)
Nahitaji msadaa niachane na hii hali nibaki na mke wangu. Nimepima juzi UKIMWI sina nikajiapiza sitaki demu ila asubuhi ya leo kipindi natoka kazini nishapitia kwa demu nimefanya (3some). Nimewanunua nimesex nao na si kwamba nitapiga kimoja nilale nop show show.
Kipindi sina kazi maalumu sina kipato chochote nilikuwa sina hela ila napiga sound mademu na huwa hawakatai so nilikuwa malaya wa kutongoza yaani sikumbuki kama nani alinikataaga nikitongoza hukatai yani kama vile wananiona LIMINIHOO...
Msaada, USHAURI....