jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari za wakati huu ndugu zangu
Hivi karibuni nimetokea kuvutiwa na mabinti wawili kwa wakati mmoja ikabidi nianze kuwafukuzia sana ili atakae jaa nichomoke naye kimaisha.
Binti mmoja alikua maji ya kunde na mwenzake mweupe tuu wa wastani , vimo sawa marafiki sana na wanapendana mno.
Nilianza kiwafatilia nikaona kama mwanaume acha nirushe nyavu zangu japo niliwaelewa sana isipo kua huyu mweupe ni mgumu kidogo.
Nikaona kama mwanaume acha niamze na huyu maji yakunde ni mvute karibu kiaina ilipia iwe rahisi kumpata mwenzake.
Mtoto alikubali japo siku mtongoza kabisa maana nilikua na mlenga sana huyu mwenzake .
Nilifanikiwa kujakupata mawasiliano yao kasoro hiyu mwingine haikua rahisi hivyo niliomba huyu binti mwingine rangi ya kunde anipe namba za rafiki yake kishikaji tuu.. kweli sikuamini kabisa binti aligoma kunipa na hapo hatasikuwa nime mtongoza wala nini ni vile utani utani tuu.
Mwamba niliona kwakua napendezwa sana na rafiki yake maana anajiweka real sana nikajisemea acha nionekane malaya na mjinga na nipoteyari kuvuliwa nguo hadharani acha nikomae nivute na huyu karibu.
Ndugu zangu nilikuja kufanikiwa na nikapata ukaribu naye wa kimnya pamoja na mawasiliano yake na binti (weupe) alionyesha kunikataa sana ila moyoni wazi kabisa na machoni alikua kanizimikia ni vile anajifanya nisimuone cheap.
Mwanaume nilizidi kukaza moyo na macho mwishowe nikaaidiwa kupewa jibu zuri ila aliomba nimpe muda japo kiutani akawa ananiambia wewe si unampenda rafiki yangu( hapa nilishituka kidogo nikajisemea usikute huyu binti wa maji yakunde kamuambia tunadate kitu ambacho hakipo wala sijamtongoza)
Nilimsihi na kumuahidi nina malengo naye ya kimaisha na akawa anaelewa tuu na utani kidogo maisha yana songa.
NDUGU ZANGU, huwezi amini siku nakuja kumtafuta huyu binti maji yakunde alinilaumu sana huku akinambia wewe si umempenda mwezangu ,ukaribu naye ushapata na namba yake umechukua basi inatosha, akanipiga block kawaida ila whatsapp akawa kaniacha tunachatlrt chati huko tuu japo anahasira sana.
Kwa kweli siku zimeenda rudi wametengana kila mtu yupo kivyake na kila wakati nakutana nao katika mishe zangu , nimejaribu kubonga na huyu binti mweupe mtoto wa watu yuko pisi ila huyu mwenzake nikikutana naye kanuna haswa na salamu hataki ila nikiwa na muonyesha tabasamu wakati mwingine anageuka anaonekana kutulia na kufurahi, ila moyoni kachukia sana kweli kweli.
Lengo langu kwao lilikua nizuri sana ni waweke wote karibu maana niliwapenda wote kwa pamoja , sema huyu mwenzake ndiye nilimlenga sana. Na lengo la kufanya hivyo ni ili huyu cheupe akiringa kuolewa basi ni mvute huyu maji ya kunde NA KAMA IKITOKEA WOTE WAMEFALL KWA PAMOJA BASI NIOE WOTE MAANA HATA HIVYO MM NATAKA KUJA KUOA WAKE WAWILI HIVYO NISINGE WAZULUMU NINGEWAOA WOTE TUU SIYO MBAYA WAKAWA WAKE ZANGU.
ndugu zangu mpaka naandika hapa nataka wanielewe nia yangu ni nzuri kwao na pia sitaki watengane urafiki wao nataka wawe pamoja..
Natafuta namna ya kuwaweka pamoja kila mtu na wanielewe ila inashindikana na inaonyesha wote kwa pamoja wanaumia sana ila kama wanawake hawana jinsi . Nimebaki katikati sijui kosa langu ni nini na nifanyaje wanielewe na warudi kawaida na kama mmoja wao ataridhia kuwa na mimi basi ni muoe ila kama wataridhia wote baai nioe wote tuu maana nime wapenda wote kutokea moyoni.
Wakuu wangu naombeni ushauri kwa hili jambo
Asanten
Hivi karibuni nimetokea kuvutiwa na mabinti wawili kwa wakati mmoja ikabidi nianze kuwafukuzia sana ili atakae jaa nichomoke naye kimaisha.
Binti mmoja alikua maji ya kunde na mwenzake mweupe tuu wa wastani , vimo sawa marafiki sana na wanapendana mno.
Nilianza kiwafatilia nikaona kama mwanaume acha nirushe nyavu zangu japo niliwaelewa sana isipo kua huyu mweupe ni mgumu kidogo.
Nikaona kama mwanaume acha niamze na huyu maji yakunde ni mvute karibu kiaina ilipia iwe rahisi kumpata mwenzake.
Mtoto alikubali japo siku mtongoza kabisa maana nilikua na mlenga sana huyu mwenzake .
Nilifanikiwa kujakupata mawasiliano yao kasoro hiyu mwingine haikua rahisi hivyo niliomba huyu binti mwingine rangi ya kunde anipe namba za rafiki yake kishikaji tuu.. kweli sikuamini kabisa binti aligoma kunipa na hapo hatasikuwa nime mtongoza wala nini ni vile utani utani tuu.
Mwamba niliona kwakua napendezwa sana na rafiki yake maana anajiweka real sana nikajisemea acha nionekane malaya na mjinga na nipoteyari kuvuliwa nguo hadharani acha nikomae nivute na huyu karibu.
Ndugu zangu nilikuja kufanikiwa na nikapata ukaribu naye wa kimnya pamoja na mawasiliano yake na binti (weupe) alionyesha kunikataa sana ila moyoni wazi kabisa na machoni alikua kanizimikia ni vile anajifanya nisimuone cheap.
Mwanaume nilizidi kukaza moyo na macho mwishowe nikaaidiwa kupewa jibu zuri ila aliomba nimpe muda japo kiutani akawa ananiambia wewe si unampenda rafiki yangu( hapa nilishituka kidogo nikajisemea usikute huyu binti wa maji yakunde kamuambia tunadate kitu ambacho hakipo wala sijamtongoza)
Nilimsihi na kumuahidi nina malengo naye ya kimaisha na akawa anaelewa tuu na utani kidogo maisha yana songa.
NDUGU ZANGU, huwezi amini siku nakuja kumtafuta huyu binti maji yakunde alinilaumu sana huku akinambia wewe si umempenda mwezangu ,ukaribu naye ushapata na namba yake umechukua basi inatosha, akanipiga block kawaida ila whatsapp akawa kaniacha tunachatlrt chati huko tuu japo anahasira sana.
Kwa kweli siku zimeenda rudi wametengana kila mtu yupo kivyake na kila wakati nakutana nao katika mishe zangu , nimejaribu kubonga na huyu binti mweupe mtoto wa watu yuko pisi ila huyu mwenzake nikikutana naye kanuna haswa na salamu hataki ila nikiwa na muonyesha tabasamu wakati mwingine anageuka anaonekana kutulia na kufurahi, ila moyoni kachukia sana kweli kweli.
Lengo langu kwao lilikua nizuri sana ni waweke wote karibu maana niliwapenda wote kwa pamoja , sema huyu mwenzake ndiye nilimlenga sana. Na lengo la kufanya hivyo ni ili huyu cheupe akiringa kuolewa basi ni mvute huyu maji ya kunde NA KAMA IKITOKEA WOTE WAMEFALL KWA PAMOJA BASI NIOE WOTE MAANA HATA HIVYO MM NATAKA KUJA KUOA WAKE WAWILI HIVYO NISINGE WAZULUMU NINGEWAOA WOTE TUU SIYO MBAYA WAKAWA WAKE ZANGU.
ndugu zangu mpaka naandika hapa nataka wanielewe nia yangu ni nzuri kwao na pia sitaki watengane urafiki wao nataka wawe pamoja..
Natafuta namna ya kuwaweka pamoja kila mtu na wanielewe ila inashindikana na inaonyesha wote kwa pamoja wanaumia sana ila kama wanawake hawana jinsi . Nimebaki katikati sijui kosa langu ni nini na nifanyaje wanielewe na warudi kawaida na kama mmoja wao ataridhia kuwa na mimi basi ni muoe ila kama wataridhia wote baai nioe wote tuu maana nime wapenda wote kutokea moyoni.
Wakuu wangu naombeni ushauri kwa hili jambo
Asanten