Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

Umeshalala na wanawake 180. Una umri wa miaka 33. Tukichukulia kwamba umeanza mapenzi ukiwa na miaka 20, maanake kwa miaka 13 umelala na wanawake 180. 180/13= 14. Kwahiyo kwa mwaka mzima unalala na wanawake 14 tu, ambayo ni sawa na mwanamke 1 kwa mwezi!! Kijana hebu acha uzembe unadhani hilo dushee ulipewa la kuendea chooni tu? Bure kabisa..!
Kwamba idadi ya wanawake aliogegedana nao ni chache kulingana na umri wake mkuu?

Aongeze idadi eti eeeeeh?

Safi sana
 
Umeshalala na wanawake 180. Una umri wa miaka 33. Tukichukulia kwamba umeanza mapenzi ukiwa na miaka 20, maanake kwa miaka 13 umelala na wanawake 180. 180/13= 14. Kwahiyo kwa mwaka mzima unalala na wanawake 14 tu, ambayo ni sawa na mwanamke 1 kwa mwezi!! Kijana hebu acha uzembe unadhani hilo dushee ulipewa la kuendea chooni tu? Bure kabisa..!

wana jf bhna
 
Nina tatizo moja naweza kumtamani mwanamke na nikamwambia kabisa naomba uwe mama mtoto wangu.alishakubali nikishasex nae namkinai ile hamu ya kuzaa nae tena ina inapotea.hivyo ikitokea akaniambia ana mimba namwambia katoe
Kumbe mzee baba unauwezo wakuzalisha kabisa ushauri usitoe mtoto ni kosa la jinai na pia ni dhambi kwa mwenyezi Mungu Unaweza ukaashibiwa kwakufanya hiki kitendo, kwanza nikupongeze kwa kuwa muwazi kwenye Hili na mengine ulioandika kwenye mada yako.

Ushauri wangu kwako jambo la kwanza katubu kanisani kwenye misa Hii dhambi ya kutoa mimba na mengine ukiwa na sadaka yako inenee maneno yakujutia dhambi ulizofanya ukimuomba Mungu akusamee na akuepushe na laana ukitumia baadhi ya mistari kwenye biblia.Hili ulilisahau kabisa fanyia kazi kabisa utakuja kunikumbuka.

Jambo la pili unapokuwa na mwanamke jitahidi umueleze kabisa kama una nia ya kuzaa nae au huna nia ya kuzaa kwa wakati husika before ujasex nae itakusaidia Sana na hata yeye mwanamke atajizuia kutopata mtoto na kama yupo kwenye siku zake za hatari atakuambia kabisa na akikumbia hivyo inabidi uheshimu usifanye mapenzi nae au ukifanya nae mapenzi usimkojolee ndani ya uke wake
mpwayungu village
sophy27
binti kiziwi
 
Ukilala na hao malaya waga unakumbuka condom au ni ivyohvyo tu
 
Mtoa mada unajitunza Sana,
Wanawake 160, umri miaka 33 upewe upadri kabisa
 
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.

Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua.

Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.

Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto.

Je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli?

Naombeni mchango wenu wakuu!
Ingekuwa ni Forever Living bro sasa hivi unakula faida tu, maana una matawi ya kutosha.
 
Hiyo si ndio huwa mnaiita necha yenu iweje tena utake kushauriwa? 🤔
 
Na hapo unakuta una miaka 24, kazi iendelee mkuu.
 
Back
Top Bottom