Habarini, mara kadhaa nimeona kuna watu wanauliza vitu ambavyo tayari vimeshajadiliwa, sasa kumueleza kitu mtu unakosa apetite ya kuandika hivyo inakuwa bora utag huo uzi ili kuokoa muda.
Naombeni mnielekeze ni jinsi gani naweza kutag uzi wa mtu humu JamiiForums
Naombeni mnielekeze ni jinsi gani naweza kutag uzi wa mtu humu JamiiForums