Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,688
- 12,322
Mleta mada tafuta mume akulee,mali za baba yako mwachie mwenyewe.
Hivi mjue majini ya chooni na bangi ni vitu viwili tofauti.. ona Sasa yanayomkuta mwenzetu wa 41iyaz..aibuuu
Nashangaa wanao comment kwa kutumia akili nyingi kumbe lenyewe ongo tuHuyu mtu hamjamuelewa tuu anamalizia watu bando na energy ya ku type anarudia story ya uongo apigwe ban ya maisha
Kweli wewe ni KIKOHOZI tena kile Kikavu!Habarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Yani umri wako unarudi nyuma utadhani ni zama za Alexander The Great.Habarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Yani umri wako unarudi nyuma utadhani ni zama za Alexander The Great.
Look here......
Ushauri wenu kwenye hili ndugu zangu
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu miaka kadhaa imepita sasa, Umri wangu ni miaka 31 (sina mke wala mtoto), baada ya kuangaika sana kutafuta ajira mpaka kufikia kukata tamaa atimaye Mungu wa mbinguni, muumba mbingu na nchi akaniona na kunipatia kisehemu kidogo cha kujishikiza (project flani...www.jamiiforums.com
Tena comfortable anakuja huku kusema daah Miaka 41 upo Kwa baba Ako Tena unaishi na baba Ako mdogo it means familia Hana anyway life begin at 40Mwanaume miaka 41 unalilia mali za baba yako....
Hii iingizwe kwenye maajabu ya dunia.