Msaada: Nataka kuuza nyumba maana baba yangu mzazi anadai mimi sio mtoto wake

Hii nchi uhuru umepitiliza sana🤣🤣
Na utakuta wakikaa kupiga soga wanahimizana kutohama nyumbani kwa wazazi na kwenda kujitegemea.Wanaambiana ..."tusihame.Tuhame kwenda wapi wakati hapo ndiyo kwetu tulipozaliwa? Wenyewe wazazi ndiyo wahame waende kwa wazazi wao"...!Umeona hizo akili?😂😂😂😂😂
 
Na utakuta wakikaa kupiga soga wanahimizana kutohama nyumbani kwa wazazi na kwenda kujitegemea.Wanaambiana ..."tusihame.Tuhame kwenda wapi wakati hapo ndiyo kwetu tulipozaliwa? Wenyewe wazazi ndiyo wahame waende kwa wazazi wao"...!Umeona hizo akili?😂😂😂😂😂
Yaan vijiweni huko wanadanganyana sana + bangi mbichi basi kitakachotokea hapo ni shida tupu
 
Blaza mali ya baba yako sio yako fanya ujenge tu nyumba yako Mkuu achana na Mzee hayo nd maamuzi yake
 
Hivi mjue majini ya chooni na bangi ni vitu viwili tofauti..😂😂 ona Sasa yanayomkuta mwenzetu wa 41iyaz..aibuuu
 
wajameni mtafutieni mwanaume amuoe, kazi yake iwe ni kufua nguo, kusafisha nyumba, kupika na kunyanduliwa tuu.
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.

Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.

Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.

Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.

Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Una elimu gani ?
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.

Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.

Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.

Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.

Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Wewe utakua hujitambui au unamtindio wa ubongo ww kila siku unakuja na style tofaut tofaut umesomeshwa na baba yako unataka nn halafu bado unajiita kijana miaka41
 
miaka 41 bado unang'ang'ania urithi wa nyumba ya babaako?? kwa kweli wewe ni wa fungu la kukosa !…………...
 
Back
Top Bottom