MSAADA, Nataka KUJIUA

MSAADA, Nataka KUJIUA

Ndugu kujiua ni nguvu ya pepo wachafu wanaotaka kupeleka watu motoni. Nakusihi sana usije ukajiua, kwanza ni dhambi mbele za Mungu na hata kwa wanadamu. Omba msaada toka kwa Mungu atakusaidia kushinda jaribu hilo.
 
Piga mahesabu: Je ukifa kuna madhara au mzigo wowte utaaachia waliobaki? Je una sehemu gani katika familia na wanaokuzunguka? Kama huna madhara yoyote utakayowapatia waliobaki basi uamuzi ni wako, ila kama mzigo upo basi baki ukabiliane na majukumu yako ili upunguzie watu mzigo.

Naongezea: ivi ukijiua ndo utakuwa umemaliza matatizo unajua huko uendako kuna nini
Nnachoamini mimi tatizo hata liwe kubwa kiasi gani iko siku litakwisha
 
hiyo ni roho chafu ya kutaka kujiua( the spirit of committing suicide) ikatae na uivunje kwa mamlaka ya jina la yesu. we are always not standing by using the authority of our own name but jesus name
 
kama unataka kujiua mkuu, ingia na nguruwe msikitini au kafanye fujo jeshini,
 
hebu niPM niweze kukushauri vizuri kwni unahitaji msaada wa zaidi wa kisaikolojia pole sana ila huna budi kumwomba Mungu ndiye anayeweza yote kwake hakuna kinachoshindikana soma Jeremiah 32:27 Yeye ni Bwana wa watte wenye mwili je kuna jambo gumu asiloliweza nasema hakuna usiwe na wazo baya kiasi hicho cha kujikatili maisha yako kwani yeye ndiye aliyekupa kuishi na ndiye anatakaye chukua roho yake mwenyewe akipenda huna budi kumwomba Mungu na huna budi kuwa tu wa kusali naamini utapona na kuondokana na msongo wa mawazo , Matatizo kwa mwanadamu yapo huna budi kuyashinda majaribu na makwazo hayo
Cha kufanya wewe mtumaini na kumtegemea Mungu maishani mwakio ila sijajua nnini unachopitia ukiniPM nitakushauri namna ya kufanya ili kuondokana na tatizo hilo bestito
Habarini wakuu!
Nimepatwa na matatizo makubwa maishani ambayo yalipelekea nichanganyikiwe akili miaka ya nyuma,ila baada ya kutumia madawa na ushauri wa kisaikolojia,akili yangu ilirudi vyema.
Lakini,kwa miaka yote hiyo,nimekuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo,na mara kadhaa,wazo la kujiua hunijia kwa nguvu.
Hali hii inanitesa,na nashindwa kabisa jinsi ya kutoka hapa.
Naombeni msaada wenu,ili niweze ishi maisha ya kawaida.
Ahsanteni.
 
asante kwa kusaidia besti umempa tumaini jipya
hiyo ni roho chafu ya kutaka kujiua( the spirit of committing suicide) ikatae na uivunje kwa mamlaka ya jina la yesu. we are always not standing by using the authority of our own name but jesus name
 
Nijuavyo mimi kufa na kuishi yote ni sawa! Ulizaliwa pasipo kutaka - utakufa pasipo kutaka; njia yoyote utakayotumia kuitoa roho ndo namna ulivyopangiwa. Bora kufa kuliko kuteseka kama watu wa Mtwara.

Nafikiri upo sawa.kama ameshaamua kufa ajiondoe tu. Asisahau kuandika wosia na kusema vitu vyake viko wapi.
Pia atajiulia wapi ili tuchukue hiyo ma...t kwa maziko.
 
Wacha kuwa selfish wewe, watu wamehangaika ili upone kwasababu wanakupenda. Fikiria waliyopitia mpaka ukarudi kama mwanzo, wazazi ndugu jamaa na marafiki.
 
mkuu huyu mtu hayupo serious,yupo kwenye thread nyingine anaongelea bikra za makalioni tu afu anapotezea watu mda huku

Mkuu patrickk,nipo serious,na kwa waelewa wamenishauri effectively.
Huko kwingine najaribu kumanage stress eti!
Ngoja niende Mambo ya Kikubwa,LOLZ!
 
Last edited by a moderator:
Wacha kuwa selfish wewe, watu wamehangaika ili upone kwasababu wanakupenda. Fikiria waliyopitia mpaka ukarudi kama mwanzo, wazazi ndugu jamaa na marafiki.

Ahsante boss,si kama nipo selfish,hapana!
Ndio maana nafanya kila jitihada kuweza kuwa katika hali ya kawaida
 
Last edited by a moderator:
Nalikemea roho ya mauti na itoke katika jina la Yesu Kristu aliyetufia msalabani. Fanya mafungo, omba Mungu kwa imani yako pia shirikisha wale watu wa Mungu ambao wataweza kukuombea kikamilifu. Kama alivyokushauri member hapo juu nami nakupa namba za watumishi wafuate watakusaidia sana nazo ni 0655940940, 0716469046, 0768261624, 0786381515, 0769940940 anaitwa Mtume Vale Bofu anapatikana maeneo ya Temeke ukishuka Pile Bar unaulizia kanisa lake ni hatua kama kumi toka barabarani. Hizi namba sina hakika kama zinatumika tena zote maana ni muda ninazo ila hakika ni lazima atapatikana na nyingine katika hizi wanatumia wachungaji wake. Pole sana. Na Mungu atakuponya.
 
Pole sana, naomba Mungu akunusuru katika mawazo hayo.

Juzi nilikuwa nimesumuliwa na ndugu yangu juu ya kijana huyu aliefariki kwa ugonjwa na alitaka kuishi sana as alijiona yeye bado mdogo kuiaga hii dunia.

Akaomba sana watu na kwenda kwenye tv kuongea kusaidia wanaotaka kujiua wasifanye hivyo. Jina lake ni Donal Walsh ukimsechi youtube kuna videos za yeye kuongea haswa April 2013 na amefariki mwezi huu. Sad

Please soma hii link

The wonderful and lasting legacy of brave Donal Walsh - Independent.ie
 
R.I.P

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwa kweli nimesoma post mbaya sana humu ndani ambazo hazijibu wala kutoa msaada kwa aliyeanzisha uzi huu.

Nyie binadamu mlioandika maneno ya ajabu bila kumjibu au kutokumjibu Mungu awasaidie haya mnayomtakia yasiwajie nyie au watu wakaribu nanyi.

Wewe ni lazima ujibu kila thread iliyomo humu ndani?? Mnataka tu kuongeza vinamba vya vijiposts mlivyoandika ndani ni utumbo tu.

Ni lazima kweli muingie humu badala ya kusoma na kusepa mnaanza kuandika ya ajabu, nyie na roho chafu inawasaidia nini?

Mnamwambia ajiue hivi kweli nyie mnauamuzi katika maisha yenu. Na mie namsalia huyu
Kwa aibu embu rudieni posts zenu na mzifute, huu uzi alioanzisha mnajua unaweza saidia watu wangapi katika situation yake? Au mnadhani hakuna wanaoingia jf au forum zingine kutafutaka majibu na ushauri bila kupost?

Kama hukutoa msaada wa kumjibu au kumpa pole, basi na ukaandika maneno ya ajabu basi wewe unasikitisha na nafurahi mie sio nduguyo.
 
Back
Top Bottom