MSAADA, Nataka KUJIUA

MSAADA, Nataka KUJIUA

Nalikemea roho ya mauti na itoke katika jina la Yesu Kristu aliyetufia msalabani. Fanya mafungo, omba Mungu kwa imani yako pia shirikisha wale watu wa Mungu ambao wataweza kukuombea kikamilifu. Kama alivyokushauri member hapo juu nami nakupa namba za watumishi wafuate watakusaidia sana nazo ni 0655940940, 0716469046, 0768261624, 0786381515, 0769940940 anaitwa Mtume Vale Bofu anapatikana maeneo ya Temeke ukishuka Pile Bar unaulizia kanisa lake ni hatua kama kumi toka barabarani. Hizi namba sina hakika kama zinatumika tena zote maana ni muda ninazo ila hakika ni lazima atapatikana na nyingine katika hizi wanatumia wachungaji wake. Pole sana. Na Mungu atakuponya.

Amen,barikiwa sana mkuu Zogwale
 
Last edited by a moderator:
Pole sana, naomba Mungu akunusuru katika mawazo hayo.

Juzi nilikuwa nimesumuliwa na ndugu yangu juu ya kijana huyu aliefariki kwa ugonjwa na alitaka kuishi sana as alijiona yeye bado mdogo kuiaga hii dunia.

Akaomba sana watu na kwenda kwenye tv kuongea kusaidia wanaotaka kujiua wasifanye hivyo. Jina lake ni Donal Walsh ukimsechi youtube kuna videos za yeye kuongea haswa April 2013 na amefariki mwezi huu. Sad

Please soma hii link

The wonderful and lasting legacy of brave Donal Walsh - Independent.ie

Ahsante sana mkuu mzurimie
 
Last edited by a moderator:
Uyo ni shetan na Muombe Sn Mungu akuepushie mbal na ayo mawazo, kwa Sisi wakristu tunaamin kua kujiua ni dhamb kubwa moja kwa moja unaenda moyon huna masamaha wewe.Ushaur wangu kwako; Ni marufuku kukata tamaa ktk maisha kwenye jambo lolote lile,mkemee uyo shetan wa kujiua,rudi kwa wanasaikolojia watakufanyia counselling,ijue Thaman/uwepo wako wa kua dunian na pia jikite kwenye maomb km usal Anza kusal sasa ili uyo shetan ashindwe(muweke Mungu mbele)
 
kuna watu wamepagawa humu ndani na wana roho mbaya kupita mfano. mwanao au kaka yako akija anataka kujiua utamjibu km ulivyomjibu huyu jamaa? shame on you all na adhabu yenu wote leo usiku mjikojolee kitandani

back to topic...
mkuu Logout, shetani anataka ujiue uangamie. heri ulipo kuliko utakapoenda ukijiua. roho ya kutaka kujiua ina nguvu sana ila haishindi nguvu za Mungu. watafute watumishi wa Mungu kama ulivyoshauriwa hapo juu. Ongeza na namba hii...0754 546995/0656 900820. Piga kisha ujielezee vizuri utapata msaada.

najua utapona. tafadhali tujulishe unavyoendelea. kama jmosi hivi ni PM juu ya hatua ulizochukua na maendeleo yako.

yesu anakupenda.
 
Habarini wakuu!
Nimepatwa na matatizo makubwa maishani ambayo yalipelekea nichanganyikiwe akili miaka ya nyuma,ila baada ya kutumia madawa na ushauri wa kisaikolojia,akili yangu ilirudi vyema.
Lakini,kwa miaka yote hiyo,nimekuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo,na mara kadhaa,wazo la kujiua hunijia kwa nguvu.
Hali hii inanitesa,na nashindwa kabisa jinsi ya kutoka hapa.
Naombeni msaada wenu,ili niweze ishi maisha ya kawaida.
Ahsanteni.

............. Karibu sana kanisani jumapili hii fika kanisa la Winners Chaplel lililoko banana Ukonga linatazamana na shule ya msingi minazi mirefu ibada ya kwanza saa 1:00 asubuhi na ibada ya pili saa 3:30 asubuhi ibada zote zinatafsiriwa kutoka kiingereza kwa kiswahili...
 
Ahsante boss,si kama nipo selfish,hapana!
Ndio maana nafanya kila jitihada kuweza kuwa katika hali ya kawaida

Komaa hakuna kufa hapa si unaona majonzi yanavyokuwa akitutoka mpiganaji mmoja. Fikiri sana watu wanavyokupigania unapata mwanga zaidi.
 
Last edited by a moderator:
kuna watu wamepagawa humu ndani na wana roho mbaya kupita mfano. mwanao au kaka yako akija anataka kujiua utamjibu km ulivyomjibu huyu jamaa? shame on you all na adhabu yenu wote leo usiku mjikojolee kitandani

back to topic...
mkuu Logout, shetani anataka ujiue uangamie. heri ulipo kuliko utakapoenda ukijiua. roho ya kutaka kujiua ina nguvu sana ila haishindi nguvu za Mungu. watafute watumishi wa Mungu kama ulivyoshauriwa hapo juu. Ongeza na namba hii...0754 546995/0656 900820. Piga kisha ujielezee vizuri utapata msaada.

najua utapona. tafadhali tujulishe unavyoendelea. kama jmosi hivi ni PM juu ya hatua ulizochukua na maendeleo yako.

yesu anakupenda.
 
usikae kae pekeyako,pia rudi kwenye matibabu,vipi una familia?i mean mke/mme na watoto?
 
You want to Log out of this planet earth?
Try one of these...
suicide2.jpg
 
Last edited by a moderator:
usikae kae pekeyako,pia rudi kwenye matibabu,vipi una familia?i mean mke/mme na watoto?

Ndugu yangu roho ya kutaka kujiua mbaya sana. baba mmoja mkewe kampikia kambusu wakalala usiku. kuamka alfajiri akakuta mke kajinyonga. alihisi anaenda kujisaidia kumbe bye bye. usiombe kuona.

tumtie moyo huyu jamaa.
 
Una mitusi arafu unataka kujiua Go on uone jinsi utavyopokelewa na makonzi huko ahela.
 
You want to Log out of this planet earth?
Try one of these...
suicide2.jpg

Duuu hapa lazima anyeee kulaleki we matatizo siku hizi ni kama nembo ya mtanzania alafu we unaona kama yanakutokea peke yako?
 
Last edited by a moderator:
Habarini wakuu!
Nimepatwa na matatizo makubwa maishani ambayo yalipelekea nichanganyikiwe akili miaka ya nyuma,ila baada ya kutumia madawa na ushauri wa kisaikolojia,akili yangu ilirudi vyema.
Lakini,kwa miaka yote hiyo,nimekuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo,na mara kadhaa,wazo la kujiua hunijia kwa nguvu.
Hali hii inanitesa,na nashindwa kabisa jinsi ya kutoka hapa.
Naombeni msaada wenu,ili niweze ishi maisha ya kawaida.
Ahsanteni.

fuatana nami kujibu maswali hatua kwa hatua
1) ni kitu gani unakipenda au kinapendeza kwa mfu (maiti)
 
Usithubutu! Hakuna dhambi mbaya kama ya kukata tamaa na ukifa jua kuwa unaenda moja kwa moja kwenye moto wa milele. Hebu google heaven and hell kwenye youtube ujionee huruma ya Mungu kutujulisha yaliyo upande wa pili.
 
kuna watu wamepagawa humu ndani na wana roho mbaya kupita mfano. mwanao au kaka yako akija anataka kujiua utamjibu km ulivyomjibu huyu jamaa? shame on you all na adhabu yenu wote leo usiku mjikojolee kitandani

back to topic...
mkuu Logout, shetani anataka ujiue uangamie. heri ulipo kuliko utakapoenda ukijiua. roho ya kutaka kujiua ina nguvu sana ila haishindi nguvu za Mungu. watafute watumishi wa Mungu kama ulivyoshauriwa hapo juu. Ongeza na namba hii...0754 546995/0656 900820. Piga kisha ujielezee vizuri utapata msaada.

najua utapona. tafadhali tujulishe unavyoendelea. kama jmosi hivi ni PM juu ya hatua ulizochukua na maendeleo yako.

yesu anakupenda.

Ahsante sana mkuu Chupaku,ubarikiwe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom