MSAADA, Nataka KUJIUA

MSAADA, Nataka KUJIUA

Last edited by a moderator:
pole sana kwa yaliyokupata but usijaribu tena kukata tamaa
 
Habarini wakuu!
Nimepatwa na matatizo makubwa maishani ambayo yalipelekea nichanganyikiwe akili miaka ya nyuma,ila baada ya kutumia madawa na ushauri wa kisaikolojia,akili yangu ilirudi vyema.
Lakini,kwa miaka yote hiyo,nimekuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo,na mara kadhaa,wazo la kujiua hunijia kwa nguvu.
Hali hii inanitesa,na nashindwa kabisa jinsi ya kutoka hapa.
Naombeni msaada wenu,ili niweze ishi maisha ya kawaida.
Ahsanteni.

Anayetaka kujiua sikuwahi kusikia anaomba msaada kwamba hasifanye hivyo. Kwani huko mtaani kwenu hakuna wa kukufanyia 'kanseling' au walau hata ndugu zako?
 
Mkuu patrickk,nipo serious,na kwa waelewa wamenishauri effectively.
Huko kwingine najaribu kumanage stress eti!
Ngoja niende Mambo ya Kikubwa,LOLZ!

We nenda Mtwara tena front line, ukipona itakuwa bonas yako !
 
Last edited by a moderator:
Anayetaka kujiua sikuwahi kusikia anaomba msaada kwamba hasifanye hivyo. Kwani huko mtaani kwenu hakuna wa kukufanyia 'kanseling' au walau hata ndugu zako?

Unaelewa matumizi ya Jf mkuu Osaka?
Ndugu na marafiki wana sehemu yao,na jamvi hili lina umuhimu mkubwa sana kwangu!
Kwa miaka niliyo kuwepo humu nimegain pengine kuliko kwa wanandugu.
 
Last edited by a moderator:
Habarini wakuu!
Nimepatwa na matatizo makubwa maishani ambayo yalipelekea nichanganyikiwe akili miaka ya nyuma,ila baada ya kutumia madawa na ushauri wa kisaikolojia,akili yangu ilirudi vyema.
Lakini,kwa miaka yote hiyo,nimekuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo,na mara kadhaa,wazo la kujiua hunijia kwa nguvu.
Hali hii inanitesa,na nashindwa kabisa jinsi ya kutoka hapa.
Naombeni msaada wenu,ili niweze ishi maisha ya kawaida.
Ahsanteni.

acha uongo ndugu
 
Unaelewa matumizi ya Jf mkuu Osaka?
Ndugu na marafiki wana sehemu yao,na jamvi hili lina umuhimu mkubwa sana kwangu!
Kwa miaka niliyo kuwepo humu nimegain pengine kuliko kwa wanandugu.

Kama ndivyo, basi jaribu hata ku - Google.
 
Last edited by a moderator:
Hebu waza jinsi ugali ulivyo mtamu.....

Fikiria raha ya kupumua....

Bado unataka kujiua?
 
Ungesema unafikiria kujiua na Sio unataka kujiua, hata hivyo pole nakushauri rudi kwa dr wako inawezekana dawa ulizokuwa unatumia hazikufanya kazi vizuri, historia yako itaweza kumpelekea dr kujua unasumbuliwa na aina gani ya depression, is it clinic or major depression? Umeshawahi kutumia aina tofauti za antidepressants? are you suffering from bipolar disorder? e.t.c. tafuta psychiatrist mzuri wengine ni mburula, good luck .
 
Back
Top Bottom