Prince Tumbo
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 910
- 247
Habarini wakuu!
Nimepatwa na matatizo makubwa maishani ambayo yalipelekea nichanganyikiwe akili miaka ya nyuma,ila baada ya kutumia madawa na ushauri wa kisaikolojia,akili yangu ilirudi vyema.
Lakini,kwa miaka yote hiyo,nimekuwa kwenye msongo mkubwa wa mawazo,na mara kadhaa,wazo la kujiua hunijia kwa nguvu.
Hali hii inanitesa,na nashindwa kabisa jinsi ya kutoka hapa.
Naombeni msaada wenu,ili niweze ishi maisha ya kawaida.
Ahsanteni.
Yesu yu hai...uhai wako upo ,una yesu na yesu uko nae hapo ulipo, mpokee utaishi na pepo wa mauti akutoka kwa mamlaka yatokayo juu...