Nimeipenda signature yako: ahahhahahahahaahahakwani unamlipa wewe?
Nimeipenda signature yako: ahahhahahahahaahahakwani unamlipa wewe?
Aaaaah ebu nisaidie binamu,sijui wanamuongelea mungu yupiGwajima kainuliwa na mungu? 😀 😀 😀 😀 😀 😀 .angempiga mimba mke wa Emmanuel mbasha?
Usimfananishe yesu na vitu vya kijinga weweYesu ana cheti?
=kufikiriaNasikitika sana kuona mtu anasujudiwa kisa pesa na mail kama helicopter. Tukiendelea hivi kamwe taifa halitaondokana na ugonjwa wa akili (uvivu wa kufikilia na kufanya maamuzi).
Mchungaji anapaswa kujikita kuhubiri na kuongoza kondoo wa bwana si kuubuli chuki na revenge.
Ni Kristu yupi anayemfata na hizo lecture za njee uliwahi shuhudia hata moja au ndo kusikia tu
gwajima unaemtetea nae kageuza mashambuliziAliekwambia uchungaji una degree nani? Angekua padre au askofu wa roman catholic kdgo tungeweza kuulizia maswala ya elimu . Sasa uchungaji wa gwajima na degree wap na wapi? Mwambie aliekutuma akitaka alimalize hili atoe vyeti vyake hadharani a clarify watu tuone. Ila kugeuza mashambulizi hakusaidii. Ye c anapenda sana Media? Aitishe press conference tena a clarify mambo.
Sasa warumi naona mdogo mdooogo akili inaanza kuacha akili amini hivyoTunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
Tukianza kuulizana vyeti vya dini ni wakatoliki pekee wenye elimu rasmi.Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
Kama hii ni kweli,basi kuna shida !Kwanza watu wanaojiita watumishi kutoka Congo wana tabia ya kutumia ushirikina sana katika huduma zao.Halafu Dah, kutoka darasa la tano mpaka kupata mafanikio aliyo nayo sasa! Sijui bwana labda mimi taahira,lakini ipo shida kubwa.Alizaliwa Lubumbashi,Congo miaka ya 80,kisha wazazi wake walikimbia vita na kuja kuweka makazi Geita ambako alisoma darasa la kwanza mpaka la tano akawa ameacha shule kwa kukosa uniform.
Akawa anaishi kwa kufanya ufundi ujenzi kabla hajaja Dar es salaam kutafuta maisha.
Alipata wazo la kufungua kanisa baada ya hali ya maisha kuzidi kuwa ngumu miaka ya 2000 akawa ameyapatia maisha.
Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........[/Q
CV yake kubwa ya maana ni kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu.