Biomedical Technicians/Engineers wanasahaulika sana kwenye ajira za serikalini. Tatizo ni nini?

BLS

Member
Apr 19, 2021
72
136
Biomedical Engineering ni moja ya idea muhimu kwenye sekta ya afya. Ni idara kama Pharmacy, Radiology, Medical Laboratory, Dental n.k

Kwa Tanzania ni Idara changa sana katika hospitali zetu,Ilianzishwa na chuo cha DIT mwaka 2012 kwa ngazi ya diploma na wahitimu wake wa kwanza ni 2014, baadaye Arusha Technical collage waliofuata. Kwa sasa tuna wahitimu wa Bachelor of Engineering in Bio-medical and Electrical Engineering kutoka Arusha Technical college.

Tunavyo vyuo vitatu vinavyo toa ordinary diploma kwa sasa
1. DIT
2. MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (MUST)
3. ARUSHA TECHNICAL COLLEGE

Tunavyo vyuo viwili vinatoa shahada za awali za uhandisi wa vifaa tiba(Bachelor of Engineering in Bio-medical Engineering

Tunaowahitimu wengi tangu mwaka 2014 wameajiliwa na serikali intake tatu tu. Leo tuna zaidi leo hii tuna Intake zaidi ya 5 mitaani ajira za Leo za Afya zaidi ya 2000 Kada zote za Afya zimo isipo kuwa mafundi na wahandisi wa vifaa tiba.

Tatizo ni nini?
 
Nijibu haya maswali kwanza..mnacho chama cha kitaaluma? Mnalo baraza la kitaaluma?

#MaendeleoHayanaChama
 
Yes!
Engineering Registration Board(ERB)
Mnataka ajira za afya yet bodi yenu ni ya usajiri makandaras? I wonder? Nachojua kada zote za afya wana vyama vyao na mabaraza yao ya usajiri yaliyo chini ya wizara ya afya.

Pambanieni hilo..pia kusoma uhandisi vifaa vya afya sio lazima muingizwe kwenye ajira za afya.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnataka ajira za afya yet bodi yenu ni ya usajiri makandaras? I wonder? Nachojua kada zote za afya wana vyama vyao na mabaraza yao ya usajiri yaliyo chini ya wizara ya afya.

Pambanieni hilo..pia kusoma uhandisi vifaa vya afya sio lazima muingizwe kwenye ajira za afya.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hauko sahihi!

Mhandisi yeyote yuko chini ya ERB , Biomedical Engineers wana chama Cha Chao (AMETT) Kama ilivyo TANNA,MCT,e.t.c
 
Mnataka ajira za afya yet bodi yenu ni ya usajiri makandaras? I wonder? Nachojua kada zote za afya wana vyama vyao na mabaraza yao ya usajiri yaliyo chini ya wizara ya afya.

Pambanieni hilo..pia kusoma uhandisi vifaa vya afya sio lazima muingizwe kwenye ajira za afya.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hauko sahihi!

Mhandisi yeyote yuko chini ya ERB , Biomedical Engineers wana chama Cha Chao (AMETT) Kama ilivyo TANNA,MCT,e.t.c lakini board y
Mnataka ajira za afya yet bodi yenu ni ya usajiri makandaras? I wonder? Nachojua kada zote za afya wana vyama vyao na mabaraza yao ya usajiri yaliyo chini ya wizara ya afya.

Pambanieni hilo..pia kusoma uhandisi vifaa vya afya sio lazima muingizwe kwenye ajira za afya.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi kupambanua mambo !Tofautisha Kati ya MHANDISI NA MKANDARASI

Kuna tofauti KUBWA Kati ya MKANDARASI na Mhandisi.
 
Hauko sahihi!

Mhandisi yeyote yuko chini ya ERB , Biomedical Engineers wana chama Cha Chao (AMETT) Kama ilivyo TANNA,MCT,e.t.c lakini board y

Jitahidi kupambanua mambo !Tofautisha Kati ya MHANDISI NA MKANDARASI

Kuna tofauti KUBWA Kati ya MKANDARASI na Mhandisi.
Sawa kama ninyi ni wahandisi mnataka kufanya nini kwenye ajira za watu wa afya...mana vifaa vya mahospitlini vipi vitengo halamshauri vina matechinicians wanafanya hizo kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa kama ninyi ni wahandisi mnataka kufanya nini kwenye ajira za watu wa afya...mana vifaa vya mahospitlini vipi vitengo halamshauri vina matechinicians wanafanya hizo kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawapo ndo maana mashine zinaharibika mara kwa mara. Serikali ijitahidi angalau aajiriwe graduate mmoja kila halmashauri na wengine wadiploma kila hospitali.
 
Hawapo ndo maana mashine zinaharibika mara kwa mara. Serikali ijitahidi angalau aajiriwe graduate mmoja kila halmashauri na wengine wadiploma kila hospitali.
Vipi ukiwa na mtaji wa kusajili kampuni itahitajika Nini ili uweze kujiajiri?
 
Sawa kama ninyi ni wahandisi mnataka kufanya nini kwenye ajira za watu wa afya...mana vifaa vya mahospitlini vipi vitengo halamshauri vina matechinicians wanafanya hizo kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko nyuma sana! Hakuna unacho kijua kuhusu BIO-MEDICAL Engineer/Technician.

Tafuta maana ya Biomedical Engineering na majukumu ya BIO-MEDICAL Engineer/Technician halafu ndo urudi tuongee .Haraka hujui unacho kiandika .
 
Uko nyuma sana! Hakuna unacho kijua kuhusu BIO-MEDICAL Engineer/Technician.

Tafuta maana ya Biomedical Engineering na majukumu ya BIO-MEDICAL Engineer/Technician halafu ndo urudi tuongee .Haraka hujui unacho kiandika .
Mkuu naomba unijibu swali langu Nina maana kubwa sana mkuu samahani kwa usumbufu
 
Back
Top Bottom