0653351683
New Member
- Jul 13, 2021
- 4
- 2
Habari zenu ,
wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.
Kwa o level nilikuwa nna c tatu na nikafanya paper ya advance Kama PC (private candidate) na nikapata three ya 14 ndio nikajiunga na Diploma
wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.
Kwa o level nilikuwa nna c tatu na nikafanya paper ya advance Kama PC (private candidate) na nikapata three ya 14 ndio nikajiunga na Diploma