Msaada: Napotuma maombi ya chuo namba ya uthibitisho (Verification number) inakataa

0653351683

New Member
Jul 13, 2021
4
2
Habari zenu ,

wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.

Kwa o level nilikuwa nna c tatu na nikafanya paper ya advance Kama PC (private candidate) na nikapata three ya 14 ndio nikajiunga na Diploma
 
Habari zenu ,

wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.

Kwa o level nilikuwa nna c tatu na nikafanya paper ya advance Kama PC (private candidate) na nikapata three ya 14 ndio nikajiunga na Diploma
Jamani msaidieni huku Elia analia huku.
 
Habari zenu ,

wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.

Kwa o level nilikuwa nna c tatu na nikafanya paper ya advance Kama PC (private candidate) na nikapata three ya 14 ndio nikajiunga na Diploma
Kwanza verification namba unayo.?? AVN namba award verification number inapatikana ..Nacte.go??? Unayotakiwa kutumia kuapply chuo?? Inatolewa kwa elfu 10 umeipata???
 
Bado ndo hiyo naihangaikia killa nikiingiza username. Na password Wanadai kuwa cheti changu cha form four Hakina sifa,kwan wao wanataka pass. Nne,lkn mi nna c 3 ambazo ziliniwwzesha kufanya paper ya advance Kama private candidate,
 
Tuma screenshot, unapokwama hapo tuone unaweza hide baadhi ya info

Screenshot_20210719-191814.png
 
Back
Top Bottom