Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

Mbona mnatukana sana yn wabongo ni HOPELESS sana hamjui kama hili ni ttzo kwa upande wanguuu
 
Habari wapendwa,

Poleni na majukumu ya kazi na kujenga mimi ni kijana wa miaka 27 kimaumbile nipo kawaida mrefu wa wastani, maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpaka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuomba.

Tatizo hili nimeanza nalo toka mdogo nilipoanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenzi kinguvu hata ikafikia kipindi mpaka mahouse girls wanataka niwape utamu nikawa sina raha wasichana wanapigana kisa mimi wengine kunywa mpaka sumu.

Mpaka sasa hivi sielewi imekuwa kero sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa hivi naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa.

Kwa tatzo hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nisipoangalia nitapata maradhi mpaka nilitoe, jamani mpaka sasa sijui nifanyeje.

Nini msaada wenu tafadhali?
bila shaka una tabia za kike ndo maana wanakupenda
 
Habari wapendwa,

Poleni na majukumu ya kazi na kujenga mimi ni kijana wa miaka 27 kimaumbile nipo kawaida mrefu wa wastani, maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpaka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuomba.

Tatizo hili nimeanza nalo toka mdogo nilipoanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenzi kinguvu hata ikafikia kipindi mpaka mahouse girls wanataka niwape utamu nikawa sina raha wasichana wanapigana kisa mimi wengine kunywa mpaka sumu.

Mpaka sasa hivi sielewi imekuwa kero sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa hivi naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa.

Kwa tatzo hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nisipoangalia nitapata maradhi mpaka nilitoe, jamani mpaka sasa sijui nifanyeje.

Nini msaada wenu tafadhali?
we utakuwa Daudi Bashite wewe si bure. mwezio anapendwa na kina agi hadi kawapangishia majumba makongo.
 
Mi siwezi nikasema umekosea au kukuperceive negative!! Kwa sababu sijui kama unachosema n kweli au laa!!...
Iñgawa nikifikir kwa makini sidhan kama uhalisia uko hivo unavoeleza au wewe umezidisha ktk masimulizi!!...Nilishasikia hayo mambo zamani sana kua kuna baadhi ya watu but hyo Mara nyingi ilikua ktk blood-line ya baadhi ya koo but sikuwahi kulidhibitisha kisayansi au research!!.... NAHISI inaweza kua hypothetical idea or delusional but n mawazo yangu tu
 
Habari wapendwa,

Poleni na majukumu ya kazi na kujenga mimi ni kijana wa miaka 27 kimaumbile nipo kawaida mrefu wa wastani, maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpaka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuomba.

Tatizo hili nimeanza nalo toka mdogo nilipoanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenzi kinguvu hata ikafikia kipindi mpaka mahouse girls wanataka niwape utamu nikawa sina raha wasichana wanapigana kisa mimi wengine kunywa mpaka sumu.

Mpaka sasa hivi sielewi imekuwa kero sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa hivi naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa.

Kwa tatzo hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nisipoangalia nitapata maradhi mpaka nilitoe, jamani mpaka sasa sijui nifanyeje.

Nini msaada wenu tafadhali?
Utakua na nyota ya VVU
 
Habari wapendwa,

Poleni na majukumu ya kazi na kujenga mimi ni kijana wa miaka 27 kimaumbile nipo kawaida mrefu wa wastani, maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpaka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuomba.

Tatizo hili nimeanza nalo toka mdogo nilipoanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenzi kinguvu hata ikafikia kipindi mpaka mahouse girls wanataka niwape utamu nikawa sina raha wasichana wanapigana kisa mimi wengine kunywa mpaka sumu.

Mpaka sasa hivi sielewi imekuwa kero sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa hivi naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa.

Kwa tatzo hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nisipoangalia nitapata maradhi mpaka nilitoe, jamani mpaka sasa sijui nifanyeje.

Nini msaada wenu tafadhali?
wewe si ndo juzi ulikuja na uzi kuwa ww ni "genious"??

basi mimi nakwambia hivi.....jinsia yako siijui ila kama wewe ni mwanamke wewe ni malaya, na kama wewe ni mwanaume wewe ni shoga
chunguza vizuri
 
Unaelekea kuchanganyikiwa, tafuta tiba mapema
 
wewe si ndo juzi ulikuja na uzi kuwa ww ni "genious"??

basi mimi nakwambia hivi.....jinsia yako siijui ila kama wewe ni mwanamke wewe ni malaya, na kama wewe ni mwanaume wewe ni shoga
chunguza vizuri
Ka nmebarikiwa mambo meng
 
Tatzo la hapa mtu unaomba msaada wat wanaleta mashushu,nyie mnaoweza kumsaidia c mumsaidie hta kwa ushaur,
Hamaanishi kuomba msaada anamaanisha ye ni hb so ni kama anajkweza hivi, hebu ngoja nikuulize angekuwa anakataliwa na kila demu unadhani angekuja hapa kuomba ushauri, au angekuwa anatongozwa na mabasha yaani wanaume mamende wanapenda vinyeo do u think angekuja kuomba ushauri?
 
Hamaanishi kuomba msaada anamaanisha ye ni hb so ni kama anajkweza hivi, hebu ngoja nikuulize angekuwa anakataliwa na kila demu unadhani angekuja hapa kuomba ushauri, au angekuwa anatongozwa na mabasha yaani wanaume mamende wanapenda vinyeo do u think angekuja kuomba ushauri?
Tanzania acheni fikra za kipumbavuu
 
Basi wewe ni ngoni kama ndio wala usitafute dawa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Aithee hiyo ni nyota inayopatikana katk anga la ukimwi...hongera saaaan[emoji817]
 
Inaonekana dogo ukikuta nzi kwenye mzoga utashangaa sana!!!
 
Habari wapendwa,

Poleni na majukumu ya kazi na kujenga mimi ni kijana wa miaka 27 kimaumbile nipo kawaida mrefu wa wastani, maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpaka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuomba.

Tatizo hili nimeanza nalo toka mdogo nilipoanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenzi kinguvu hata ikafikia kipindi mpaka mahouse girls wanataka niwape utamu nikawa sina raha wasichana wanapigana kisa mimi wengine kunywa mpaka sumu.

Mpaka sasa hivi sielewi imekuwa kero sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa hivi naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa.

Kwa tatzo hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nisipoangalia nitapata maradhi mpaka nilitoe, jamani mpaka sasa sijui nifanyeje.

Nini msaada wenu tafadhali?
Wewe utakua na tatizo fulani,may be lile la ushoga au malioo,hawekani mwanaume lijali ukaja mbele ya kandamnasi kua unapendwa sana na wasichana na wamama,hii una maana wewe ni mrembo na mzuri,sasa mwanaume tangu lini akajitangaza ni mzuri ili iweje?,upate wanaume wa kumtongoza?,nenda insta au fb ndio wenzako wanajitangaza sio hapa,huku utaambulia matusi tu
 
Back
Top Bottom