Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

Habari kama hizi bila picha huwa siziamini kabisa, mkuu ebu jaribu kuweka picha ya nyuma na mbele yawezekana una chura!!!!

90% ya maongezi ya vijana wa kitanzania ni upuuzi mtupu!!!
 
Maajabu! Yaani mwanaume mzima unakaa na kujisifia ujinga. Tangu waanze kuchangayikiwa umenufaika na nini labda.
 
Maajabu! Yaani mwanaume mzima unakaa na kujisifia ujinga. Tangu waanze kuchangayikiwa umenufaika na nini labda.
Ndege wa aina moja huruka pamoja, ukiona anapendwa na wasichana ujue na yeye ni msichana au ana tabia za kisichana...

How are you my love??
 
Sio bure wewe utakuwa umetumwa tu na kikundi cha wenye vyeti feki ili uje utupotezee mada, kupendwa na wanawake ndo ufanye ni jambo muhimu! Ingekuwa ajabu kama mama ako au Dada zako nao wanakutaka hapo kweli tungejua ni tatizo sasa hawa wanawake wa dar duuh... Kila mtu akiamua kuweka orodha ya waliojilengesha kwake ndo utajiona we uko mbali sana na kupendwa au tuseme kutamaniwa
 
Haya mapenz yamekamata option nyingi kweli kweli
 
Ndo hapo ninapoamini kuwa wanaume ni wachache, unataka kusema wewe ni mrembo sana au wamaanisha nini mtu mkubwa
 
Tatzo la hapa mtu unaomba msaada wat wanaleta mashushu,nyie mnaoweza kumsaidia c mumsaidie hta kwa ushaur,
 
Weka picha tafadhari tufanye visual analysis.. otherwise acha kujitekenya then ucheke mwenyewe
 
Join date :

Feb 09 2017


umeona kujitangaza instagram una kamatwa kama wale wenzako wakina delicious james sasa umekuja uku Jf,
yaan umeruka majivu ume kanyaga moto
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hamka ukweli hapo! Yaani wanawake wanakutongoza mpaka unaogopa kutoka nje!?
 
Back
Top Bottom