Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

Sio kila tatizo hutatuliwa kwa kuanikwa kwenye jamii, mambo mengine ni vema kuyatafutia suluhisho privately
Hapa kwnywe private Wew unanjua Mimi kwa taarifa yko Mimi ni mtu mkubwa sana nchii hii
 
Kumbe unapendwa na wasichana kwa maana hiyo wewe ni mvulana jitahidi uwe mwanaume upendwe na wanawake
 
Elezea vizuri hapo kwenye maumbile tukuelewe,maana hizo sifa za maumbile wenzio huwa wanatufafanulia! haswa kuhusu chura....
 
Habari wapendwa,

Poleni na majukumu ya kazi na kujenga mimi ni kijana wa miaka 27 kimaumbile nipo kawaida mrefu wa wastani, maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpaka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuomba.

Tatizo hili nimeanza nalo toka mdogo nilipoanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenzi kinguvu hata ikafikia kipindi mpaka mahouse girls wanataka niwape utamu nikawa sina raha wasichana wanapigana kisa mimi wengine kunywa mpaka sumu.

Mpaka sasa hivi sielewi imekuwa kero sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa hivi naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa.

Kwa tatzo hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nisipoangalia nitapata maradhi mpaka nilitoe, jamani mpaka sasa sijui nifanyeje.

Nini msaada wenu tafadhali?
waza mambo ya maana.myaka 27 sio mtoto wewe unawaza vitu vya kipuuzi.
 
Man wala ucogope.. just kuwa na msimamo... wakukataaa... wale ambao unaona hawana nia njema. And wala ucogope kutoka nje..
Ww endelea na shughuli zako... lakin kuwa na msimamo na uwe makini.
Mkuu naheshimu mawazo na ushauri wako mzuri lakin hapa si mahala pake!!!
 
Back
Top Bottom