Msaada namna ya kupambana na Nyoka, naanza kuchoka

Maji ya upako ni kiboko ya mwamposa hutajutia fungulia chanel iitwayo arise and shine kila saa3 u fatisha maelekezo utaona maajabu
Mie nasikiliza Radio Upendo FM Evening and Morning Glory na kuna Online Radio inaitwa Mungu Kwanza! Nadhani ndio maana hawa nyoka wanakimbia. Huyu wa Jana nimemkata jicho hadi akaona aibu akashindwa hata kusogea! Maombi yana Nguvu sana Ndugu zangu. Kumwamini Mungu Ni raha sana
 
Katika kuhama ndipo unawapa taharuki unaweza wakuta ndani ya net
Unachoma ukiwa ndani, Wao watakimbia kama walikuwa ndani wataelekea mbali na nyumba yako.

Hata kama walikuwa kwenye mashimo watatoka, watakimbia kuelekea mbali wakiimbia harufu ya moshi ya majani ya MWIITANJOKA.

Majani ya mti huu wa MWIITANJOKA yanafanya kazi kama TAIRI LA BAISKELI au LA GARI au ya MAPIRA ama zile PIRA zinazofunga mzingo kwenye BAISKELI, Nazo ukizichoma ile harufu yake NYOKA hapatani nayo anakimbia mbali na mji wako.
 
Umetisha mze baba nlisha wahi sikia iyo ishu kitambo
 
Ugomvi wako na nyoka ulianzaje mkuu?

Give us a short story, inaonekana iko interesting maana nyoka hana nafasi tena moyoni mwako
Kwa bahati nzuri sijawahi kuishi kwenye mazingira yenye Nyoka, imetokea tu kwa upande wangu kuwa tofauti kabisa na Nyoka.

Siwapendi Nyoka.

Nawaogopa sana Nyoka
 
bora ungemshauri amwage pilipili mlangoni
 
Bro hao nyoka hawana madhara kbs wala hawaumi. NI BROWN HOUSE SNAKE.

Wanakusaidia kupunguza pest kama panya au wadudu wengine.

Hawana sumu kabisa bali ni constrictors (wanambana panya pumzi)kisha kummeza.

Uwe na amani kabisa.
Mkuu; Wanauma (wakichokozwa/wakibughudhiwa) ila hawana sumu. Ni vyema kuchukua tahadhari kwani akikuuma yapo madhara mengine e.g. jeraha, wasiwasi/hofu, n.k.
 
Your browser is not able to display this video.
 

Nunua peTrol lita ata 1.5 kisha weka kwenye kopo la maji yakunywa toboa hapo Juu kwenye kizibo. Petrol iwe inatoka mdo mdo faida kuu 3 utapata…. 1.hutakaa uone hao viumbe 2. Utakuwa unaamka ukiwa high 3. Geto litakuwa na manukato…….
 
Hili tukio litabakia akilini mwangu....
Nikiwa nahamisha kitanda chumbani kwa baba angu.... Upande wanao lazia vichwa nikakuta kuna nyoka mkubwa mweusi...nikamuwai kumuua.

Cha kujiuliza nyoka alifikaje fikaje na je? akikungata Usiku....du ni mambo ya kuogofya sanaa
 
Huu ni msimu wao
 
Kwa omwitanjoka hatoboagi
 


Halafu mtu na akili zake timamu anasema tusiue nyoka ni rafiki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…