Hello, naomba msaada namna ya kuondoa lock, nilizima simu nlikuwa naicharge ,then mtoto kaiwasha akaanza kubashiri wrong password ili acheze game.
Now inanitaka ni input 8digits .Sina ata kumbukumbu wapi niliweks puk naomba za line.
Naomba mwenye uelewa anisaifie please
Now inanitaka ni input 8digits .Sina ata kumbukumbu wapi niliweks puk naomba za line.
Naomba mwenye uelewa anisaifie please