Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 795
- 3,246
Nani huyo sasa?Anaweza kuwa ni dogo wa miaka kumi na Sita usifikiri ni mtu mzima kama wewe
Bint? Kama ni bint inabadilisha nini katika Ushauri wangu?
Baba?
Kama ni Baba, haileti tofauti pia as long aliyeleta mada sio yeye, hivyo mpokeaji ataenda kumshauri.