vunjajungu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 576
- 240
Habari wanajamvi
poleni na majukumu ya kila siku,mwezi wa nne mm na mke wangu tulibahatika kupata mtoto.kutokana na wote kua na majukumu ya kazi tuliona ni vyema tutafute mdada wa kazi wa kutusaidia.
Tukawasiliana na jamaa yetu anaeishi dodoma atusaidie kwa hilo.akafanikiwa kumpata na kumsafirisha hadi tanga.
Alipofika tulishangaa kuona ni msichana mdogo sana lakini baadae tukakubaliana tukae nae huku tukimsomesha kwani alikua hajui kusoma wala kuandika.mshahara wote walikua wanachukua wazazi wa binti.sasa tokea mwezi huu wa nane uanze mama mtoto anasema anataka mwanae arudi sababu kuna mtu amelipa mahali hivyo anataka kumuoa.
binti hataki analia kila siku lakini mama yake anatishia kutushitaki kwa kumng'ang'ania mwanae!naombeni ushauri tufanye nn?
poleni na majukumu ya kila siku,mwezi wa nne mm na mke wangu tulibahatika kupata mtoto.kutokana na wote kua na majukumu ya kazi tuliona ni vyema tutafute mdada wa kazi wa kutusaidia.
Tukawasiliana na jamaa yetu anaeishi dodoma atusaidie kwa hilo.akafanikiwa kumpata na kumsafirisha hadi tanga.
Alipofika tulishangaa kuona ni msichana mdogo sana lakini baadae tukakubaliana tukae nae huku tukimsomesha kwani alikua hajui kusoma wala kuandika.mshahara wote walikua wanachukua wazazi wa binti.sasa tokea mwezi huu wa nane uanze mama mtoto anasema anataka mwanae arudi sababu kuna mtu amelipa mahali hivyo anataka kumuoa.
binti hataki analia kila siku lakini mama yake anatishia kutushitaki kwa kumng'ang'ania mwanae!naombeni ushauri tufanye nn?