PoleeeeSana
Jino Kwa jino.. anavyokuja ndio unampokea.🤣🤣🤣Mbwai mbwai🤒
Sema asante🤣Sawasawa
Nnayo picha yako ujuwe..!!🤣🤣Hilo liupara hujaona?
Kwa nini uteseke wakati mimi nipo? Njoo kwangu nikupe pumziko la moyo wakoHivi wenzangu mnawezaje kuishi na mtu mnafki? Yaan anajifanya yupo na upendo nawe afu kumbe anaumia ndani Kwa ndani.Mi huwa nikigundua huyu mtu siyo...anajitesa tu na kuforce maigizo ya kunipenda huwa namwignore daima...Yaan nampotezea jumla.
Siwezagi kupretend sioni wakati naona Kwa kweli....wote tu wafu hai ya nini kurembeana mwandiko🤒
Sema suu, nikupostie inbox..!! Staki kesi. Ahahahahaaa...!🤣🤣🤣Mtajiju
Aisee hii ni point Moja muhimu. Kuna kipindi nimepambana na mahasimu wangu ofisini, mwisho wa siku nikaona tunakokwenda sio kuzuri, ikabidi nibadili mbinu. Sasa hivi nacheka nao ila moyoni najua Hawa ni kipata upenyo nachinjilia mbali kabisaRule number 1
Usijaribu kumchukia adui yako kazini mpaka akagundua kuwa unamchukia maintain that.
Smile nae meno sitini lakini deep down unajua “yani huyu nikiambiwa nimsukumie mtoni kwenye mamba wengi aliwe unamsukumia”
Kazini hakuna undugu mama…kuna kipindi nilileta uzi huku kuhusu chuki makazini[emoji16][emoji16]kuna mtu mmoja alinifuata pm na sasa Ushauri wake ninaufanyia kazi asilimia buku ten
Hallelujah
Ikibidi unakwenda zaidi yake[emoji23][emoji23]Jino Kwa jino.. anavyokuja ndio unampokea.