Msaada: Mnawezaje kuishi na mtu mnafiki?

Msaada: Mnawezaje kuishi na mtu mnafiki?

Hivi wenzangu mnawezaje kuishi na mtu mnafki? Yaan anajifanya yupo na upendo nawe afu kumbe anaumia ndani Kwa ndani.Mi huwa nikigundua huyu mtu siyo...anajitesa tu na kuforce maigizo ya kunipenda huwa namwignore daima...Yaan nampotezea jumla.

Siwezagi kupretend sioni wakati naona Kwa kweli....wote tu wafu hai ya nini kurembeana mwandiko🤒
Kaa mbali na mtu mnafiki,Bora adui aliye wazi kuliko mnafiki
 
Fanya ivyo utakuja nishukuru usinuulize kitu akija kama ni ofisini anakuukiza dada vumi una dikezo la donation hapo wewe mjibu tu mimi sio mtunza kumbukumbu bhna akiiendelea kaa kimya
🤣🤣🤣Ndo dawa yake
 
Hivi wenzangu mnawezaje kuishi na mtu mnafki? Yaan anajifanya yupo na upendo nawe afu kumbe anaumia ndani Kwa ndani.Mi huwa nikigundua huyu mtu siyo...anajitesa tu na kuforce maigizo ya kunipenda huwa namwignore daima...Yaan nampotezea jumla.

Siwezagi kupretend sioni wakati naona Kwa kweli....wote tu wafu hai ya nini kurembeana mwandiko🤒
Kwaku mnafkia
 
Aisee hii ni point Moja muhimu. Kuna kipindi nimepambana na mahasimu wangu ofisini, mwisho wa siku nikaona tunakokwenda sio kuzuri, ikabidi nibadili mbinu. Sasa hivi nacheka nao ila moyoni najua Hawa ni kipata upenyo nachinjilia mbali kabisa
Mkuu kazini kuna maumivu sana💔💔

Kuna mmoja(mdada ni mwembamba kama betina,unamkumbuka Zena na Betina?eheee huyohuyo)ni kama jini kisirani vile..kuna siku anaweza akaamka amekununia hanisalimii😳

Nilikuwa napata wakati mgumu mno aise..moyoni nikasema “mbwa wewe kumbe hunijui kuwa ninakisirani kukuzidi😁😁”

Nimemdelete muda San kwenye list yangu na sidhani kama anajua.mbaya zaidi akiniletea kisirani chake hata nikipishana nae nahisi napishana na jini makata vile
 
Mkuu kazini kuna maumivu sana💔💔

Kuna mmoja(mdada ni mwembamba kama betina,unamkumbuka Zena na Betina?eheee huyohuyo)ni kama jini kisirani vile..kuna siku anaweza akaamka amekununia hanisalimii😳

Nilikuwa napata wakati mgumu mno aise..moyoni nikasema “mbwa wewe kumbe hunijui kuwa ninakisirani kukuzidi😁😁”

Nimemdelete muda San kwenye list yangu na sidhani kama anajua.mbaya zaidi akiniletea kisirani chake hata nikipishana nae nahisi napishana na jini makata vile
Nae ni mwembamba ivoivo...Kuna muda sitamani hata salamu yake
 
Hivi wenzangu mnawezaje kuishi na mtu mnafki? Yaan anajifanya yupo na upendo nawe afu kumbe anaumia ndani Kwa ndani.Mi huwa nikigundua huyu mtu siyo...anajitesa tu na kuforce maigizo ya kunipenda huwa namwignore daima...Yaan nampotezea jumla.

Siwezagi kupretend sioni wakati naona Kwa kweli....wote tu wafu hai ya nini kurembeana mwandiko🤒
Ndy maana mm sinaga marafiki Ila Nina watu ninaojuana nao tu na siwezi waita marafiki sababu wanaunafki mwng
N Bora ibaki tu tunajuana it's enough
 
Hivi wenzangu mnawezaje kuishi na mtu mnafki? Yaan anajifanya yupo na upendo nawe afu kumbe anaumia ndani Kwa ndani.Mi huwa nikigundua huyu mtu siyo...anajitesa tu na kuforce maigizo ya kunipenda huwa namwignore daima...Yaan nampotezea jumla.

Siwezagi kupretend sioni wakati naona Kwa kweli....wote tu wafu hai ya nini kurembeana mwandiko🤒
Dogo hili neno “namwignore” inabidi tuliingize kwenye “kamsi” ya kiswahili! Au unasemaje? 😄😄
 
Mkuu kazini kuna maumivu sana💔💔

Kuna mmoja(mdada ni mwembamba kama betina,unamkumbuka Zena na Betina?eheee huyohuyo)ni kama jini kisirani vile..kuna siku anaweza akaamka amekununia hanisalimii😳

Nilikuwa napata wakati mgumu mno aise..moyoni nikasema “mbwa wewe kumbe hunijui kuwa ninakisirani kukuzidi😁😁”

Nimemdelete muda San kwenye list yangu na sidhani kama anajua.mbaya zaidi akiniletea kisirani chake hata nikipishana nae nahisi napishana na jini makata vile
haha, sijui mwandishi wa Zena na Bettina aliishia wapi. Dunia hii kuna watu wanaboa sana. Inabidi ukomae vinginevyo unaweza usitoboe. Job kwetu sasa ndio hatari, watu karibia 98% ni masnichi alafu wanapuliza ile ambaya. mbaya zaidi asilimia kubwa ni KE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom