Msaada: Mnawezaje kuishi na mtu mnafiki?

Msaada: Mnawezaje kuishi na mtu mnafiki?

Aisee hii ni point Moja muhimu. Kuna kipindi nimepambana na mahasimu wangu ofisini, mwisho wa siku nikaona tunakokwenda sio kuzuri, ikabidi nibadili mbinu. Sasa hivi nacheka nao ila moyoni najua Hawa ni kipata upenyo nachinjilia mbali kabisa
🤣🤣🤣 Kabisa Yaan
 
Mnafki inatakiwa ukae nae kinafkinafki... Ukimchoka mkope alafu usimlipe
 
Kazi nyepes kabisa iyo ni kumpa short answer tu af sura kavu akichekesha usicheke na usichekeshe uso mkavu kama ujapaka mafuta kesho arudi kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom