Tumia mbinu ya Yesu KristoYeah,ivo mkuu
Full stopHakika...nilenge nikulenge
Pamoja mkuu
Unanitonesha kidonda To yeye 😔Asante sana...msalimu mwalimu
Umenikumbusha ile ngoma ya nipe [emoji109] na nikupe[emoji109] sjui imeimbwa na msanii gani actually ni ya kitambo[emoji109]
[emoji3577]Siikumbuki pia[emoji4]
Kwa hiyo unafurahi? ☹️🤣🤣Ndo dawa yako🤭
Rule number 1Na ni job hata ivo mom....mi napita nao mpaka maji Waite mma
Inakera sana aiseeRule number 1
Usijaribu kumchukia adui yako kazini mpaka akagundua kuwa unamchukia maintain that.
Smile nae meno sitini lakini deep down unajua “yani huyu nikiambiwa nimsukumie mtoni kwenye mamba wengi aliwe unamsukumia”
Kazini hakuna undugu mama…kuna kipindi nilileta uzi huku kuhusu chuki makini😁😁kuna mtu mmoja alinifuata pm na sasa Ushauri wake ninaufanyia kazi asilimia buku ten
Hallelujah