Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
nadhani wazungu(waingereza) hawana concept ya kitoweo,iwe nyama,wali,mchicha vyote ni vyakula tu na vina majina yake, licha ya kuwa katika milo yao huwa kuna main dish na vikolombwezo vingine i.e main dish inaweza ikawa hata nyama na kikolombwezo ikawa salad, au main dish inaweza ikawa wali na vikolombwezo ikawa njegere na samaki!