Kwa kuwa mboga ni kitoweo kinachotokana na kitenzi "kutowea" au "kutoelea" katika maana ya kuchanganya ili kupata ulaini wa kuweza kutafuna ugali na kuumeza kirahisi, basi mimi ningesema kiingereza cha "mboga" ni "mixer". Kumbe unaweza kusema "ugali mixer", wali mixer, nk. ukimaanisha kile unachochanga na ugali au wali ili kuula kwa raha na kwa urahisi. Hivo, mixer yaweza kuwa mchuzi, nyama, dagaa, nk.