Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,381
Nooo, sisi tulikua tunaita MITEWE!Mkuu inaelekea ulikusudia kuandika "Mitebwe" badala ya "Mitewe."
Maybe ndio hiyo hiyo ila kijijini kwetu tunaita MITEWE.
Nooo, sisi tulikua tunaita MITEWE!Mkuu inaelekea ulikusudia kuandika "Mitebwe" badala ya "Mitewe."
hahahahahaha....... sina mbavu...Sorry. tulikua tunaongea kiswahili ila shule nilienda mimi hatukua tunapewa chakula. Kila mtu anatoka na mitewe nyumbani. kama sio mitewe ni rowe. Unajua mitewe na rowe? lol
Nooo, sisi tulikua tunaita MITEWE!
Maybe ndio hiyo hiyo ila kijijini kwetu tunaita MITEWE.
Na ile style ya kichuma mboga si inaitwa dog style? Basi utafiti wetu uanzie hapa kwenye dog style
I am sure we are!Yeah, inawezekana kuna mpishano wa matamshi, lakini tunazungumzia kitu kimoja.