SINZAHabari wana JF,
Kwa wale Wana-Ndugu ambao wanaifahamu Dar es Salaam vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?
1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Sio pakishua sanaa/Expensive estate
3. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
4. Hakuna tatizo la maji tiririka
5. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
6. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
7. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua
Ahsante.
Haswaa, akaishi huko na asilimia kubwa ya mastaa wapo huko.Sinza hamnaga ushenzi,kule ni bata tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Arusha
Mtoa mada umebakiza mji gani mkubwa?
Nowdays barabara inajengwa kule.Nenda Buza kwa Mpelange....
Tupe na vigezo vyakeUkifika Dar ulizia Buza kwa Mpalange. Ni sehemu maarufu sana hata mwanamke anakuleta.
Hapana dear, Niko kwa mzee wetu msuguriDiana we unatokea kwa wala bata tabata?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] OkeyHapana dear, Niko kwa mzee wetu msuguri
tabata ipi ni nzuri na siyo ya mbaliKama una usafiri private Tabata kuzuri sana baadhi ya maeneo, usiende Taba ya mbali huko Segerea.
Au shughuli zako kama zipo Ilala-CBD Tabata kupo vizuri tu.
niliona Uzi mmj raia kibao wakichangia... Kule kuna mafundi wa kuiba spea za magari.... ni hatari....Goba mkuu, Upepo mzuri sana pia hapajazana na hakuna uswahili wala wizi na pako kimya sana. Downfall maji ni ya kununua bomba bado hazijafika
Bei gani huko vyumba viwili na sebule?njoo mikocheni mkuu nyuma ya clouds FM huku kuko fresh watu wanapaogopa bure tu
ahsante joyce...Kaaa Sinza Kwa usalama wako, huko goba utachinjwa mchana kweupeeee, Sinza Hakuna wizi utarud hata saaa tisa usiku utatembea Kwa mguuu kila mahali taa zinawaka hakuna vibaka na sio uswahilini na kuna raha Sana Sinza kuliko eneo lolote la dar kwa wale wenye starehe za Kati na maisha ya Kati
haha, "wanawake ..wanaume.."Sinza utaenda popote unapohitaji Kwa usafiri usiokuwa na usumbufu ndani ya, dar, Maji Umeme maduka mabar vioski miziki wanawake, wanaume na kila aina ya hitaji Sinza utalipata
Goba ni sehem tulivu ila inategemea shughuli zake anafanyia wapi.kaa GOBA mkuu
kule shida yake ni usafiri,hakuna route ya daladala yaani pamejitenga mno.Kwa kuzingatia vigezo vyako hususani kigezo Cha eneo lisiwe la gharama sana.
Nenda kaishi Mbezi Beach ya Chini utakuja kunishukuru.