Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Good.
mimi kama mtaalam wa mienendo ya foleni hapa dar, nakushauri upange sehemu ambayo haina shida sana ya upatikanaji wa magari hasa nyakati za usiku kama huu


Kuna ruti mkuu ikifika mida kama hii unakuta abiria mko wengi kama kumbi kumbi..

so take care
i will be glad..ukanidokezea mkuu hizo sehemu.

thanks.
 
Good.
mimi kama mtaalam wa mienendo ya foleni hapa dar, nakushauri upange sehemu ambayo haina shida sana ya upatikanaji wa magari hasa nyakati za usiku kama huu


Kuna ruti mkuu ikifika mida kama hii unakuta abiria mko wengi kama kumbi kumbi..

so take care
Mbagala
 
Aje Kimara hatojutia kwanza maji yanapitia huku kwenda tank kuu la maji pale Kimara DAWASA

Mwendokasi upo Kimara ndipo kituo kikubwa
Soko la kufungasha bidhaa wala sio lazima kwenda Kariakoo

Huku Mafuriko yatawafikia wa Ubungo kabla ya Kimara kwa sababu ipo juu


Hali ya hewa upepo kama wote hata kipindi cha fukuto hatuwazi sana

Kipo kituo cha afya Kimara kama wa kishua BOCH sio mbali pia
 
Aje Kimara hatojutia kwanza maji yanapitia huku kwenda tank kuu la maji pale Kimara DAWASA

Mwendokasi upo Kimara ndipo kituo kikubwa
Soko la kufungasha bidhaa wala sio lazima kwenda Kariakoo

Huku Mafuriko yatawafikia wa Ubungo kabla ya Kimara kwa sababu ipo juu


Hali ya hewa upepo kama wote hata kipindi cha fukuto hatuwazi sana

Kipo kituo cha afya Kimara kama wa kishua BOCH sio mbali pia
i appreciate ur info
 
puker,

Naomba unipe location nzuri ya eneo zuri Kigamboni jirani na bahari mbali kidogo na makazi ya watu wengi. Nahitaji eneo kwa ajili ya kujenga makazi binafsi kuanzia mwezi wa 12 mwakani nikirejea nchini.
 
Kama uko fresh tafuta tu apartment mjini ukae ...huku ni raha tu. City centre, kkoo, gerezani mpaka mitaa ya fire zipo bei nafuu . Upanga nako zipo ila parefu kidogo
 
Back
Top Bottom