Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 2,296
- 5,248
- Thread starter
- #161
daaah...!Goba ni sehem tulivu ila inategemea shughuli zake anafanyia wapi.
Kama shughuli zake anafanyia maeneo ya kawe,mwenge,makumbusho ni sawa haitamcost sana kwenye ya usafiri.
Lakini pia goba kuna wezi wa kuvunja magrill/madirisha halafu wanazama ndani na kuhamisha vitu vyote vya kubebeka kirahisi mfano Flat tv,subwoofer,radio,pesa,na begi za nguo.
wanakuachia vitanda na makochi.