Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Goba mkuu, Upepo mzuri sana pia hapajazana na hakuna uswahili wala wizi na pako kimya sana. Downfall maji ni ya kununua bomba bado hazijafika
 
Toa specifications za nyumba kama vyumba vingapi, kuwe na nini, house rent Tsh kwa mwezi, kama unataka geti, njia ya gari, n.k.
Hao wanaokuambia Goba, Ubungo, na kwingineko bila kutaja Goba ipi ubungo ipi watakuingiza chaka.

Kila Sehemu kuna pazuri na pabaya isipokuwa Masaki na Oyster Bay tu hakuna pabaya ila gharama ndiyo kubwa.
 
Akaishi Ubungo kibangu hamna uswahili
Toa specifications za nyumba kama vyumba vingapi, kuwe na nini, house rent Tsh kwa mwezi, kama unataka geti, njia ya gari, n.k.
Hao wanaokuambia Goba, Ubungo, na kwingineko bila kutaja Goba ipi ubungo ipi watakuingiza chaka.

Kila Sehemu kuna pazuri na pabaya isipokuwa Masaki na Oyster Bay tu hakuna pabaya ila gharama ndiyo kubwa.
 
Toa specifications za nyumba kama vyumba vingapi, kuwe na nini, house rent Tsh kwa mwezi, kama unataka geti, njia ya gari, n.k.
Hao wanaokuambia Goba, Ubungo, na kwingineko bila kutaja Goba ipi ubungo ipi watakuingiza chaka.

Kila Sehemu kuna pazuri na pabaya isipokuwa Masaki na Oyster Bay tu hakuna pabaya ila gharama ndiyo kubwa.
i accept your challenge, so utanipatia direction pia.

master-sebure-jiko, ndani ya geti, descent street, 150k to 200k per month, unganisha na specifications zangu za juu.
 
Back
Top Bottom