Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Uliwahi kuingia zaidi ya mita 200 ndani ya Sinza ? Kama unaijudge Sinza kwa kupita tu barabara ya Shekilango utaumia.Ila Sinza Kuna Machangu balaa

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mita 200??[emoji1787][emoji1787]

Mimi nimezaliwa na kukulia sinza mori mkuu...

Huyo niliyemquote anaijua sinza vizuri sana, regardless machangu wa corner bar na meeda, bado sinza ni sehemu salama zaidi ya kuishi, tembea hata saa kumi usiku hakuna wa kukugusa!

Kama kuna mtu anaishi/ ameishi sinza atakuwa anaujua ukweli huu
 
Inategemea na mahitaji yako, nikimaanisha shughuri unazofanya, pia unapendelea mazingira gani ya kujichanganya i mean katikati ya mji au scatted ya kujitenga maana kuna watu wanapenda Maeneo tulivu yasiyo na kelele na population kubwa ya watu.
Mie naitaji maeneo tulivu yasiyokuwa na population kubwa ya watu
 
Mabibo kota za jeshi hutajuta bei ya chumba kizuri sh.70,000/= umeme sh13,000/= bado maji nk
 
Back
Top Bottom